Unamawazo mazuri ila hayana mantiki yoyote kwawatanzania wasasa ambao wameelimika, kazi unayo ndugu ila tu tambua yakwamba Tanzania yasasa sio yazamani. ukiwa kama mwana CCM kazi unayo jipangeni tena kwaupya manake hawa jamaa wa CDM wanasera nzr sana sana sana ambazo zinavutia napia watuonyesha...
Ha ha ha ha ha ha hiyo kari lia sidhani kama ninjia sahiin yakuwazibiti hawa people, bila shaka chama tawala wanajialibia kwawananch. mi binafis nadhani wangebuni sera nzur zakuwaldisha wananch kwenye mstar, ila wameshachelewa kwajinsi ninavyojua kwasasa hata kama mkutano ya cdm ikifanyika...
Hapa kaka ukisubili tamko hadi auwawe kiongozi mmoja wangazi zajuu nadhani hapo tamko utalisikia, lakini wachumia juani kama sisi hatuna haki duniani ila nadhani hakiyetu tutaikuta mbinguni. kiukweli hapa nyie niwajanja lakini mbinguni.:A S 465:
Mtatumaliza serikali kwahali hii du. Jamani chama tawala kufanya hivyo mnadhani mwaweza badilisha hisia zawatanzania? hamujui kua kila kukicha mwajialibia kwawanchi wasiokua nahatia? mi nahisi kua huyu mwandishi wahabari alikua nahabari nzito sana yakuwaumbua hawa jamaa zetu, ili kupoteza yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.