Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Waislam walifanya maandamano Dar nani aliwagusa, halafu maandamano sio sababu, dunia nzima watu wanafanya maandamano na Polisi wanawalinda, ikitokea vurugu wanadhibiti. Inakuaje TZ hata maandamano tu ni marufuku tena yawe ya CDM tu.
mkuu maandamano siku 365! kweli siasa ni ajira, ngenga inamfanya mtu aishi vizuri