majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
.............matokeo yake kayajaza lol!!.Kunywa gongo na kuchanganya na banana ni hatari sana...
.............matokeo yake kayajaza lol!!.Kunywa gongo na kuchanganya na banana ni hatari sana...
Hapana shaka sasa israeli wa mageuzi tanzania sasa ameikamata roho ya chadema. Hii ni wazi kabisa chadema inaelekea kwenye foleni ya nccr mageuzi, tlp na cuf. Ngoma ikilia saan upasuka. Haiingii akilini nguvu kuubwa inayotumika kutangaza shughuli za kufungua vishina ni yanini?? Ni wasiwasi kuwa chadema is a minor issue kwa watanzania. Ni lazima wawe kwenye magazeti kila siku vinginevyo itasahaulika. Jumapili ya jana ndo ilikuwa huruma ya mwaka. Mnyika ametembelea ubungo kufungua matawi. Amepata watu wachache kiasi kwamba hakuna gazeti hata moja na wala wale mavuvuzela wa jamii forum hawakuweka picha zake. Eti sasa wanachukua vipicha vya upareni ambavyo navyo ni miti tuu na wazee kama kumi hivi. Poleni wana chadema hata mrema aliondoka hivyo hivyoo. Kidumu chama cha mapinduzi.
Mkuu mmwaisoba,nadhani hapo utakuwa unakosea..though ni mbunge wenu haimaanishi asichangie jamvo lenye maslahi kwa taifa( hata kama halitawagusa moja kwa moja wana Ubungo, mkuu...
Hapana shaka sasa israeli wa mageuzi tanzania sasa ameikamata roho ya chadema. Hii ni wazi kabisa chadema inaelekea kwenye foleni ya nccr mageuzi, tlp na cuf. Ngoma ikilia saan upasuka. Haiingii akilini nguvu kuubwa inayotumika kutangaza shughuli za kufungua vishina ni yanini?? Ni wasiwasi kuwa chadema is a minor issue kwa watanzania. Ni lazima wawe kwenye magazeti kila siku vinginevyo itasahaulika. Jumapili ya jana ndo ilikuwa huruma ya mwaka. Mnyika ametembelea ubungo kufungua matawi. Amepata watu wachache kiasi kwamba hakuna gazeti hata moja na wala wale mavuvuzela wa jamii forum hawakuweka picha zake. Eti sasa wanachukua vipicha vya upareni ambavyo navyo ni miti tuu na wazee kama kumi hivi. Poleni wana chadema hata mrema aliondoka hivyo hivyoo. Kidumu chama cha mapinduzi.
Nashindwa kuelewa kama Mnyika alipata watu wachache wewe ulijuwaje na kama vyombo vya habari havikuandika? Kama hawataandika wanahabari basi hata wewe utaandika ndo kama hivi umeandika. Chama cha mafisadi hakitatawala milele, na kwa taarifa yako mwisho wake umekaribia saana.Hapana shaka sasa israeli wa mageuzi tanzania sasa ameikamata roho ya chadema..... Ni lazima wawe kwenye magazeti kila siku vinginevyo itasahaulika. Jumapili ya jana ndo ilikuwa huruma ya mwaka. Mnyika ametembelea ubungo kufungua matawi. Amepata watu wachache kiasi kwamba hakuna gazeti hata moja na wala wale mavuvuzela wa jamii forum hawakuweka picha zake. Eti sasa wanachukua vipicha vya upareni ambavyo navyo ni miti tuu na wazee kama kumi hivi. Poleni wana chadema hata mrema aliondoka hivyo hivyoo. Kidumu chama cha mapinduzi.
Ndugu yangu kwani wewe inakukera nini CDM wakiita waandishi wa habari kuripoti ufunguzi wa matawi???Hapana shaka sasa israeli wa mageuzi tanzania sasa ameikamata roho ya chadema. Hii ni wazi kabisa chadema inaelekea kwenye foleni ya nccr mageuzi, tlp na cuf. Ngoma ikilia saan upasuka. Haiingii akilini nguvu kuubwa inayotumika kutangaza shughuli za kufungua vishina ni yanini?? Ni wasiwasi kuwa chadema is a minor issue kwa watanzania. Ni lazima wawe kwenye magazeti kila siku vinginevyo itasahaulika. Jumapili ya jana ndo ilikuwa huruma ya mwaka. Mnyika ametembelea ubungo kufungua matawi. Amepata watu wachache kiasi kwamba hakuna gazeti hata moja na wala wale mavuvuzela wa jamii forum hawakuweka picha zake. Eti sasa wanachukua vipicha vya upareni ambavyo navyo ni miti tuu na wazee kama kumi hivi. Poleni wana chadema hata mrema aliondoka hivyo hivyoo. Kidumu chama cha mapinduzi.
nimesoma habari kwa masikitiko nikidhani kuwa labda una point unataka kuitetea, ila nilipofika hapo kwenye red, nikagundua kuwa gamba la kwenye masaburi linakusumbua!Hapana shaka sasa israeli wa mageuzi tanzania sasa ameikamata roho ya chadema. Hii ni wazi kabisa chadema inaelekea kwenye foleni ya nccr mageuzi, tlp na cuf. Ngoma ikilia saan upasuka. Haiingii akilini nguvu kuubwa inayotumika kutangaza shughuli za kufungua vishina ni yanini??
Ni wasiwasi kuwa chadema is a minor issue kwa watanzania. Ni lazima wawe kwenye magazeti kila siku vinginevyo itasahaulika. Jumapili ya jana ndo ilikuwa huruma ya mwaka. Mnyika ametembelea ubungo kufungua matawi. Amepata watu wachache kiasi kwamba hakuna gazeti hata moja na wala wale mavuvuzela wa jamii forum hawakuweka picha zake.
Eti sasa wanachukua vipicha vya upareni ambavyo navyo ni miti tuu na wazee kama kumi hivi. Poleni wana chadema hata mrema aliondoka hivyo hivyoo. Kidumu chama cha mapinduzi.
Mkuu imekaa utamu hiyo, hata mabibi wamo tu M4C mbele kwa mbele!!!!
Hivi sasa namsikia Mzee Malecela anasema CCM hawaingoi ngooo hizo ni kelele za chura. Jana kweli Mnyika ameonja joto ya jiwe. Kaja kule kimara eti kufungua matawi. Hakupata hata waatu 30 na matokeo yake aliondoka kichwa chini. Watu wengi wameapa kuwa watamshikisha adabu wakati wa uchaguzi mkuu. Huyu ni mbunge wa Tanzania siyo wa ubungo. Anajifanya yeye ni kama rais kuzungumzia kila jambo hata kama halina maslahi kwa wana Ubungo
Hawa nao ni watu kumi????View attachment 66001