Jopo la Maaskofu lakutana Mbagala, latoa tamko zito

Shalom, nashukuru sana kwa ujumbe Huu uliojaa hekima na busara. Langu ni moja kwenu maaskofu na wakristo wote. Hivi hamuwezi kuacha tofauti zenu za madhehebu mkakaa pamoja na kutoa tamko moja kuonyesha uimara wa mwili wa KRISTO? Kila dhehebu na tamko mh! umoja baba aliowapa ktk kuchunga kondoo uko wapi? Hata kwenye Shida hivi Jamani?
Queen Esther

Umenena sana esther.
 
Lakini wamesema uvumilivu una mwisho!! Take care waislam, ukimya wetu haumaanishi kwamba sisi waoga au hatuwezi kuwashughulikia. Tutavumilia lakini tukiona hatuwezi kuendelea kuvumilia tutasema baaasi.
 
Wapendwa msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya MUNGU, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” tulianza na MUNGU Tutaendelea na MUNGU NA mwisho tutamliza na MUNGU TUSIFE moyo tutashinda.
 
Yaani kati ya Maaskofu 19 wa KKKT nane ni Madokta!!!!! I like it.
 
Hapo ndipo utakapojua kuwa kuna umuhimu wa VIONGOZI WA DINI KUPITIA ANGALAU KAELIMU KAZURI. KAMA SIASA TU TUNATAKA WASOMI ENEO NYETI KAMA DINI LAZIMA KIONGOZI ASIYE NA ELIMU ATAKUWA KAMA KIPOFU. BIBLIA HUWEKA MSISITIZO HUU; +MWANANGU MSHIKE SANA ELIMU+
 
Shule inasaidia sana, viongozi wa dini ya kikristo wana PHD, na matamko yao yanajenga UPENDO, MSHIKAMANO NA AMANI... Ushauri kwa sisi waislamu, tuwashawishi viongozi wetu wa dini waongeze elimu, wengi wao ni DARASA LA SABA.

ponda hata la saba hajafika according to mufti
 
Wallah jamani.Mmmmh ndugu zangu wakristo mnatisha.Yaani maaskofu 20 Phd 8!!!! duuuu. Yarabi toba wa billah. Sipati picha wangekaa mashekhe 20 wakiongozwa na Dr.shekhe issa ponda.Yangetoka matamko hayooo we

sasa hapo tu ni kkkt ukiingia catholic hakuna askofu asiye na phd
 
naomba pia wachangiaji wengine tuige rugha waliotumia maaskofu ya upole sio ya kukashifu dini zingine kwa mazuri/mabaya yao hata wao wengine hawapendi yanayofanywa na wenzao
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hata mpagani asiyejua Mungu ni nini, akisoma ujumbe huu, atakubali kwa dhati kuwa UKRISTO ni dini ya kweli. Yesu yuko mlangoni, heri ya wafu wafao katika Bwana asema roho kwa maana matendo yao yafuatana nao. Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu, mwenye haki na azidi kutenda haki.
 
Hekima na u.jinga vikiwekwa pamoja lazima tofauti ionekane! Wenye busara na wenye akili wamenena. Wenye fujo na

wasio na uelewa wanaandamana na kuchoma makanisa. Common sense (which is not common) tells us who is civilized

and who is not. It tells us who, if given this country can take us to where we want to reach. It tells us who can lead

and who can do nothing but to be led.
 
Shalom, nashukuru sana kwa ujumbe Huu uliojaa hekima na busara. Langu ni moja kwenu maaskofu na wakristo wote. Hivi hamuwezi kuacha tofauti zenu za madhehebu mkakaa pamoja na kutoa tamko moja kuonyesha uimara wa mwili wa KRISTO? Kila dhehebu na tamko mh! umoja baba aliowapa ktk kuchunga kondoo uko wapi? Hata kwenye Shida hivi Jamani?
Queen Esther


I think they need to be united in their diversities! Hauitaji wakae pamoja! Tunahitaji waseme kitu kimoja
 
Wakristu siku zote si watoa hukumu kwani hawashughuliki na mwili ambao utabaki duniani ila wanashughulika na roho ambayo itapata hukumu siku ya kiama

Ha ha haaa!!!. Nilikuwa napita tu nikakutana na ujumbe huu!!.

Hivi yule Kijana (Jumapili- Shabani) aliyeuawa pale kahama mwezi wa pili mwaka huu kwa kuchomwa Visu na wakristo mpaka utumbo wote ukatoka nje juu ya mkanda wa kuukashifu Uislam na na wauaji hawakuchukuliwa hatua yoyote mbona Kanisa lilikaa kimya?? Mkuki kwa Nguruwe kwa mwanadamu Mhhh!!!!!!!

Nyani siku zote hajioni nyuma.


Source: Salam za Maaskofu wa KKKT kuhusiana na uchomwaji moto Makanisa - wavuti.com
 
Tunawatakia kila la kheri na matamko yao ila wafahamu hii nchi ni ya Waislamu na Wakristo. Busara na hekima itumike na sio vitisho na mikwala. Kwani vijana wa kiislamu na waislamu wengi wamewachoka sio siri. Ni vema wakatafakari vizuri kitu wanachokizungumza isije kuishia tukashindwa kuishi kwa amani nchini mwetu hali ni mbaya.

Usiwe na hofu wala shida, soma hilo tamko lao neno kwa neno, mstari kwa mstari na aya kwa aya, mantiki ipo bayana, hawana ugomvi na watekelezaji wa maagizo ya kifedhuli, wame hit kichwani, aliyewatuma au kuwalea atachukua hatua!!

Aliyepanda magugu kwenye ardhi ya rutuba si anafahamika? Aliyeruhusu mihadhara ya kashfa za kidini si anafahamika, anayefanya uteuzi kwa misingi ya kidini si anafahamika? aliyeamriwa kuingiza kipengele cha dini kwa sensa si anafahamika? mwenye wizara iliyoamriwa kuwaachia wahalifu si anafahamika? sasa ndugu hawa waliokula viapo vitukufu waseme nini? Hawaja mtaja Ponda, Uamsho au kitu kingine chochote, maana hao ni kama a tip of an iceberg ndani ya bahari. Binafsi nimelielewa tamko, kamwe sitaunyoosha mkono au kupanua kinywa changu dhidi ya ndugu zangu wawe wakristu, waislamu, wapagani, wahindu au wabahai
 
Back
Top Bottom