Recent content by denis fourplux

  1. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    2023-2024 nlianzisha biashara ya uwakala maeneo fulani Nikaamua kumuajili Msela / rafiki alie kua kama ndugu na hii ni kwakua jamaa alikua hana mchongo anaunga unga tu so nikamshika mkono nikampa mtaji kama wa 10M guess what baada ya miezi 8 ananambia pesa imepotea amebaki na 2M na apo biashara...
  2. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Msaada line za uwakala Mkuu Tigo, Airtel pamoja M-pesa

    Njoo Pm
  3. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania LATRA simamieni sheria, mabasi yote yapakie na kushusha abiria kwenye stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

    Wewe ni kenge wa kiwango cha kwanza Yani nakaa Mkuranga au nakaa Msasani kupanda bus asubui unataka nilale kituoni or niende mpk Magufuli? Unajua umuhimu wa kusogeza huduma? Basi tuishauri serikali isijenge zahanati kwenye kata watu wote waende kutibiwa muhimbili apo maana ata izo hospitali za...
  4. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia Jeshini

    1
  5. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Mabraza wa Kariakoo na dili zao

    Asee
  6. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Scholarship zote hizi hapa ushindwe wewe tu

    Hello
  7. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Naomba Tittle za movie kali ambazo sitojutia

    Asee
  8. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekanaje mtu huna kazi bado unasoma Master's Degree?

    Biashara ikifa atakua amepata nini?
  9. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Scholarship zote hizi hapa ushindwe wewe tu

    Sawa
  10. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa mil 5-10 nifanye biashara gani mkoa wa TABORA

    Bro naomba nije Pm
  11. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Unyama niupendao hii Londo asee naitaman sana
  12. denis fourplux

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba namba ya mtu anaedeposit 1x bet
  13. denis fourplux

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uliwezaje kuanzisha au kukubali kuwa na mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?

    Dah wacha ni nyamaze nimeajiliwa moja ya kampuni kubwa ya simu upande wa kuhudumia wateja.. kazi hii naipenda ila inachangamoto sana maana inakufanya uwe malaya sana. Ninaumri wa miaka 25,na kwenye kazi hii na miaka 5 nilipata mteja siku moja Mama wa makamo amezaliwa 1968 aliefika kwa Dada...
Back
Top Bottom