Recent content by Delter

  1. Delter

    Je, Hali hii itamuathiri mtoto?

    Nivyema ukasubiri hadi mtoto amalize kunyonya kwanza.. Then tafuta dhen tafuta partner aliepora kuliko wa mwanzo coz si vyema kua mama ambae anawatoto watano baba tofauti.. Ni mtazamo tu mdau.
  2. Delter

    Ni kosa kubwa sana (A GRAVE MISTAKE) kwa CCM kutofungia kampeni Dar

    Ila dar sio mji mkuu kamanda
  3. Delter

    Mume wangu hataki kunipa chakula cha ndoa

    Swali ni jee bado unajiremba kwa mumeo kama mwanzo..? au baada ya kupata mtoto umekua ni mtu wa kushinda na madira na vitenge hadi usiku.. Jaribu kumvutia mumeo anapokua ndani na utaona result zake.. Sisi wanaume huwa tunapenda wake zetu wapendeze mukipendeza hamu ya kuwagegeda hua inakuja...
  4. Delter

    Mchepuko unavyonitesa part 1

    Mtalaka hatongozwi hukumbushwa tu.. Maana ya msemo huo ni wengi wa wanawake waliozalishwa au wajane hua hawatingozwi na ex wao hukumbushwa tu na wakatoa mchezo bila ya kujali.. So akili kichwan mwako ndugu.
  5. Delter

    Hivi JF kuna wife material kweli?

    Hivi unapataje mke humu JF manake naona watu hata picha zao hawaeki.
  6. Delter

    Naomba uniuzie Samsung Galaxy S4 kwa TSHS 300k (Serious Seller)

    Bro mm naona boa uanzishe mtaji wa kuuza nyanya halafu hako kafaida kikusaidie manake s4 haina ishu tafuta techno tu muhim mawasiliano
  7. Delter

    Orijino Komedi wanapokashifu afya ya Lowassa, wamesahau ya mwenzao VENGU?

    Nimewatoa maanani sana hawa watu kwanza kuchekesha yenyewe hawajui tena wanatumia uzoefu tu saiv
  8. Delter

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Wewe kumlea huyo mtoto ndo atakutia umasikini sio..usiwe ivo bamdogo.. Mwache mwanamke akae na mtoto wake.
  9. Delter

    Hivi manii ina nini hadi wanawake wanasisimka wakiilamba na kuimeza

    Hata mm napenda kuramba urenda wa demu ni mtamu sana
  10. Delter

    Hivi ni kweli kuna wanawake wasiofika kileleni hata wakutane na nani?

    Mmmh hivo vilele ni vya mtunda gani.. Mbona tunadanganyana bhana.. Kilele kimoja tu.. Ukimpiga pini vizuri na akisha kumwaga basi hicho ndo kilele chake. Hayo mengine mnajipa emagination tu.
  11. Delter

    Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

    Kwasababu wengi bado wapo katika ndoto za utoto kwa maana ya kua wanataka waolewe na prince mwenye kila kitu.. Hawajua kwamba maisha ya sikuizi unanza ukiwa na mwenza wako from down..
  12. Delter

    Je, ni haki basi kutosimama kwa ajili ya chakula kisa mfungo?

    Jee waliomba basi lisimame wakakataliwa?? Au ndo kuongea tu
  13. Delter

    Kuna tofauti gani kati ya Perfume na Body spray?

    Wewe hilo swali lako limeshajijibu wenyewe
  14. Delter

    Mwanaume kuvaa hereni

    Mwanaume kuvaa herini ni ushoga tu..
Back
Top Bottom