Malizia kwanza part II, maana nyie hamchelewi kuja kusema: "ndo nkashtuka kumbe nlikuwa naota"!
We utachapiwa mpaka kufa....na utachundwa mpaka ulie....wanaume wenzetu mnatudhalilisha sana...piga chini mbona mademu wako wengi mkuu
We sio mwanaume ....pigs chini uyo ...ukiwa na mwanamke mmoja lazima ujutieeee
Rasimisha uhusiano huo.......nenda kwa wazazi wake......tangaza nia......mpigie simu huyo x wake mwambie aache mambo ya kiboya kumzoea huyo manzi.......kama ni mtoto asubiri akitimiza miaka 8 atakuwa na uhuru wa kumuona na kumlea ila kwa sasa huyo X aamue moja kama atamchukua mtoto akamlee mwenyewe au na huyo demu ache mambo ya kifala ya kukuchezea michezo ya kukuchanganya na mwanaume mwenzako bila kuweka msimamo kuwa anataka kuwa na nani kama mume rasmi kupata mtoto na huyo jamaa haimpi haki ama ruhusa ya kuwa kigeugeu ...............kama hawezi kutumia akili zake za kuzaliwa atumie tuh hata makalio........!
gold digger shame on you
Ndugu yangu..hapo huna chako..wanawake wengi hupenda mzazi mwenza kuliko mchepuko..nasikwambie mtu hiyo baba wa mtoto akikujua jua bifu unaloo...tulia na rose..hiyo ndo wife material..kasubiri mda wote huo? Msaidie kujua style ya mapenzi unayofurahia..sio kuchepuka.
Mi sioni kama kuna tatizo coz we ushasema shida yako kugegeda tu, na ndio hicho kilichokuweka hapo sasa we ulitegemea X wake atamuacha we enelea tu kupoteza muda wako hapo kisa kamchezo anakajua we unafikiri huyo alozalisha hukifanyiwa unavyofanyiwa ww kalagabao mjomba acha ushamba wa ngono we bila kujituma huyo hiyo pesa yako ungetoa? Mjini hapa!
If gold is available why shudnt i dig it up?