Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,440
- 12,294
Afya ni majaliwa ya Mungu,leo kundi la OK linasimama majukwaani kwenye kampeni za ccm hata kutoa post mitandaoni za kudhihaki afya ya Lowassa wamesahau yalimpata mwenzao Vengu? mwaka wa nne leo yuko kitandani.ikumbukwe huyu jamaa alikua ni bingwa wa kumuigiza Mrema na maradhi yake kwa bahati mbaya Mungu kampiga kofi leo hii yeye ndio yuko kitandani na Mrema huyoooo yuko mzima kabisa.
Tukumbuke tunayo yafanya Mungu anatuona.kuna Leo na kesho.
Tukumbuke tunayo yafanya Mungu anatuona.kuna Leo na kesho.