Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,504
kwangu iko hivi mkuu..
Mimi bana nimekukuta na mtoto unalea pekeako,nimekupenda nikakubeba na mwanao,ukishafika kwangu sitaki tena uniletee habari za baba wa mtoto wala nini,kama anamtaka mwanae mpelekee ww urudi hapa kama wewe na wewe huwezi kuishi bila mwanao nenda usirudi.Sitaki kabisa habari ya kuniambia naenda kumsalimia baba wa mtoto stupid wakati nilikukuta pekeako.
umeongea kama wazee kumi.......bgup