Mwanaume kuvaa hereni

Mwanaume kuvaa hereni

Unavaa hereni ili iweje kama sio ushoga. ? Vaa siku ukishikwa makalio ndo utaelewa
 
Hawezi rusha nguni maana siwanasema biashara ni matangazo na matangazo yenyewe ndio hayowakipita mbele yetu ni mluzi kwa kwenda mbele

Teh teh teh ashakuambia ni pambo mkuu. Sometimes ni vizuri ukaTest Zari kwa mluzi huwa sio wakali wote
 
Dah m binafs sithubutu kuvaa dah hivi nitapita njian jaman watu hapana aisee
 
Kwa mwanamke kutoboa ama kuvaa heren tunasema urembo, sasa mwanaume urembo unakusaidia nini? Haya tuseme mwanamke anatafuta kibuzi na ww kidume watafuta nini? Acheni zenu mwanaume akitoboa ni dalili za kuhalalisha kiboga tu.
 
Wanawake wakivaa heleni huwavutia wanaume...
Sasa Mwanaume wakivaa heleni...wanategemea kuwavutia akina nani kama sio hao wanaume???
Easy arithmetic..
 
Tatizo watu wanapenda halalisha hata kile kisicho na maana. Hivi Mungu kweli alituumba tifanye haya tifanyayo leo?
Hakumuumba mtu akiwa kajitoboa sikio.... isitoshe Mbinguni hapatakuwa ma kuvaa hizo hereni sasa kwanini utese mwili wako
Waache wavaae na wajilembe hakuna vya kufanya.Unafikiri ukiwa na shughuli za uzalishaji ambazo hukutana na watu wanaoendana na status yako utavaa heleni?Kama mwanaume halisi,ukiaachana na hao wana muziki ambao wamefanya sehemu yao kuwa hivyo.
 
Kutoboa sikio m naonaga poa 2 as long as anakaza sio anakua ki kikekike ila kutoboa Pua mtt wakiume ndio naona dah anakua kama mdada
 
Waache wavaae na wajilembe hakuna vya kufanya.Unafikiri ukiwa na shughuli za uzalishaji ambazo hukutana na watu wanaoendana na status yako utavaa heleni?Kama mwanaume halisi,ukiaachana na hao wana muziki ambao wamefanya sehemu yao kuwa hivyo.
mutungapix.jpg

Huyo ni JAJI MKUU!
 
Asante ndio uwezo wake wa kufikiri ulipoishia.Wanaume naomaanisha hapa na status zao si kama huyoo.Hata ungemweka nani.Kama hujawahi vaa basi wewe ni mmoja ya hao nao zungumzia.Mwisho kama ni utamaduni tu na si ulimbukeni.Mbona hatuvaai sidiria?Hiki ni kipindi cha wanaume kuwasha kutamani kuwa wanawake.
 
Ni ushoga +ushirikina+(masharti) +ulimbukeni nk
 

Attachments

  • 1436301068764.jpg
    1436301068764.jpg
    164.6 KB · Views: 185
Habari mpendwa msomaji wa uzi hii.

Wiki iliyopita nilikuwa mitaa fulani hivi, kuna watu wakawa wanabishana kuhusu mwanaume kuvaa hereni wengine wakidai ni uhuni, ushoga huku wengine wakisema si uhuni.

Ndugu mwanaJF hakuna sheria ianayomkataza mtu kuvaa hereni kwa kuwa kuna baadhi ya makabila kama wabarbaigi mwanaume anaruhusiwa kutoboa masikio na kuvaa hereni.

Hivyo kwa mtazamo wangu ni sawa maana si dhambi wala haijaandikwa kwenye maandiko matakatifu ya Biblia na Quruan, tatizo ni akili za watu kuwaza mambo ndivyo sivyo.

Huo ni mtazamo wangu tu, karibuni tujadili kwa pamoja.

Nini hereni tu, wengine wanavaa hadi shanga viunoni, wanavaa sketi, mawigi waache wavae, lakini hatutokubali Tanzania iruhusu ushoga.
 
Habari mpendwa msomaji wa uzi hii.

Wiki iliyopita nilikuwa mitaa fulani hivi, kuna watu wakawa wanabishana kuhusu mwanaume kuvaa hereni wengine wakidai ni uhuni, ushoga huku wengine wakisema si uhuni.

Ndugu mwanaJF hakuna sheria ianayomkataza mtu kuvaa hereni kwa kuwa kuna baadhi ya makabila kama wabarbaigi mwanaume anaruhusiwa kutoboa masikio na kuvaa hereni.

Hivyo kwa mtazamo wangu ni sawa maana si dhambi wala haijaandikwa kwenye maandiko matakatifu ya Biblia na Quruan, tatizo ni akili za watu kuwaza mambo ndivyo sivyo.

Huo ni mtazamo wangu tu, karibuni tujadili kwa pamoja.

Umefanya utafiti wa kutosha na ukagundua kwenye biblia hakuna!?
 
Back
Top Bottom