jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,770
- 1,603
Unavaa hereni ili iweje kama sio ushoga. ? Vaa siku ukishikwa makalio ndo utaelewa
Hawezi rusha nguni maana siwanasema biashara ni matangazo na matangazo yenyewe ndio hayowakipita mbele yetu ni mluzi kwa kwenda mbele
Hereni nipambo tu, namnagani wengine watatafsiri pambo lako shida yao
View attachment 265871
Yeah namjua huyo hapo juu, sasa nyie mchelemchele mnatoboaga hivyo?
Waache wavaae na wajilembe hakuna vya kufanya.Unafikiri ukiwa na shughuli za uzalishaji ambazo hukutana na watu wanaoendana na status yako utavaa heleni?Kama mwanaume halisi,ukiaachana na hao wana muziki ambao wamefanya sehemu yao kuwa hivyo.Tatizo watu wanapenda halalisha hata kile kisicho na maana. Hivi Mungu kweli alituumba tifanye haya tifanyayo leo?
Hakumuumba mtu akiwa kajitoboa sikio.... isitoshe Mbinguni hapatakuwa ma kuvaa hizo hereni sasa kwanini utese mwili wako
Asante ndio uwezo wake wa kufikiri ulipoishia.Wanaume naomaanisha hapa na status zao si kama huyoo.Hata ungemweka nani.Kama hujawahi vaa basi wewe ni mmoja ya hao nao zungumzia.Mwisho kama ni utamaduni tu na si ulimbukeni.Mbona hatuvaai sidiria?Hiki ni kipindi cha wanaume kuwasha kutamani kuwa wanawake.
Atakuwa bwabwa huyuView attachment 266330Huyo ni JAJI MKUU!
Kutoboa sikio m naonaga poa 2 as long as anakaza sio anakua ki kikekike ila kutoboa Pua mtt wakiume ndio naona dah anakua kama mdada
Atakuwa bwabwa huyu
Habari mpendwa msomaji wa uzi hii.
Wiki iliyopita nilikuwa mitaa fulani hivi, kuna watu wakawa wanabishana kuhusu mwanaume kuvaa hereni wengine wakidai ni uhuni, ushoga huku wengine wakisema si uhuni.
Ndugu mwanaJF hakuna sheria ianayomkataza mtu kuvaa hereni kwa kuwa kuna baadhi ya makabila kama wabarbaigi mwanaume anaruhusiwa kutoboa masikio na kuvaa hereni.
Hivyo kwa mtazamo wangu ni sawa maana si dhambi wala haijaandikwa kwenye maandiko matakatifu ya Biblia na Quruan, tatizo ni akili za watu kuwaza mambo ndivyo sivyo.
Huo ni mtazamo wangu tu, karibuni tujadili kwa pamoja.
Habari mpendwa msomaji wa uzi hii.
Wiki iliyopita nilikuwa mitaa fulani hivi, kuna watu wakawa wanabishana kuhusu mwanaume kuvaa hereni wengine wakidai ni uhuni, ushoga huku wengine wakisema si uhuni.
Ndugu mwanaJF hakuna sheria ianayomkataza mtu kuvaa hereni kwa kuwa kuna baadhi ya makabila kama wabarbaigi mwanaume anaruhusiwa kutoboa masikio na kuvaa hereni.
Hivyo kwa mtazamo wangu ni sawa maana si dhambi wala haijaandikwa kwenye maandiko matakatifu ya Biblia na Quruan, tatizo ni akili za watu kuwaza mambo ndivyo sivyo.
Huo ni mtazamo wangu tu, karibuni tujadili kwa pamoja.