Masomo yanayohesabiwa ni 7 A3F4 =DIV23 hiyo ni div 3 anaweza kusoma lkn inawezekana kweli mtu kuwa na A3 N then F 4 lazima waangalie historia yako if kuna walakini watafuta matokeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nop iwe comb imekubali mfana History Geo na kiswahili CCC na FFFF atakuwa na IV 29 atasoma A level shule za private.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ukiwa na credit 3 A-C combination unaruhusiwa kusoma A level lakini ukitaka kwenda chuo chochote cert unatakiwa uwe na pass 4 A-D
Sent using Jamii Forums mobile app
siku hizi mtumishi wa umma ukiacha kazi ukasoma n then ukiomba tena kupitia utumishi hata kwenye interview hauitwi jina lako linaonekana umeshaajiliwa data base
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.