hajaibiwa bali ametapeliwa. inasikitisha sana.
ila nshindwa kuelewa ilikuwaje awe tayari kwenda dukani kununuliwa sweta na mtu asiyemjua?
Wamama muwe makini na wa mama wenzenu mnaowachia watoto wachanga
Akili ya maisha haitegemei kusoma tu, huyo mama ni mzembe kupitiliza natumai mumewe atakuwa kamlipua makofi japo haisaidii kumpata mtoto lakin itamfanya mkewe kuwa makin wakati mwingine na kutorudia ujinga aliofanya.
vitu vingine bana. huyo mama kuona mtoto anaenda kununuliwa sweta akajua ni malaika alieshuka akalegea adi kuachia mtoto kipumbavu.
Ni uzembe wa hali ya juu sana,kwanza huyo mama ilibidi ale makofi sana tusio kwamba tunawanyanyapaa luv,ujinga mwingine hauvumiliki we mtu humjui unamuamini na kumuachia mtoto kizembe hivyo!
sio kwamba tunawanyanyapaa luv,ujinga mwingine hauvumiliki we mtu humjui unamuamini na kumuachia mtoto kizembe hivyo!
Inawezekana tayari yupo mlima koleroikiwa hivyo afadhali kuliko kwenda kumuua kwa matambiko
Ni aibu na hatari sana kwa wanawake wasiyo jitambua kama huyoikiwa hivyo afadhali kuliko kwenda kumuua kwa matambiko
nchi maskini ni full matatizo... Wenzetu kila mtoto anapewa electronic device hospitalini akivuka mlango wa hospital tu bila kutolewa kanapiga kelele inapunguza wezi, kabla ya hayo yote bado security ya kutosha, Bongo ni full shida, mtu akitaka kuiba anaingia wodini anabeba mtoto anasepa hata kamera hakuna...
Ni wazo zuri, ila inaweza kutokea kwamba alikwenda kumuacha mahali ambapo huwezi kujua alielekea wapi. mfano huyo mwizi kama alishiki stand ya daladala au mabasi au barabarani itakuwa vigumu kujua alikoelekea baada ya kushukaHapo walipochukua bodaboda ndo pa kuanzia,aliyembeba yule mama mwizi atasema wapi alimshusha.