Recent content by de swaggz

  1. D

    JamiiForums Tanzania RC Makonda: Baada ya kumuumbua Mbowe nimewaokoa wananchi wa Dar es Salaam

    Ficha kutokuelewa kwako, Mbowe kafanya nn cha hatari? Kutoutangazia umma alipojua tu?? Kumbuka rahisi alisema ni kina nani wanaopaswa kutia taarifa kwa umma, so familia ya mbowe walichopaswa kufanya ni kutoa taarifa na ushirikiano kwa wahusika wa idara za afya, jambo ambalo walifanya na kufata...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais Uongozi si zawadi wala kipaji

    Ficha kutokuelewa (ujinga wako) ubunge ni cheo cha kisiasa,Mbunge ni mwakilishi Wa wananchi mwenye jukumu la kuwasilisha maoni na matakwa ya wananchi wake, lakini DED ni cheo cha kiutendaji kinachostahili uzoefu, DED ndiye boss na msimamizi mkuu Wa kazi zote za halimashauri, kuchagua DED asiye...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Trump amekiri kuwa matamshi anayoyatoa hadharani yana makosa na ameomba radhi

    ficha uelewa wako mdogo, nani alikudanganya kua athari lazima ionekane mapema hii?? Ni kauli nyingi tu za mheshiwa ambazo zinadhihirisha alitoa bila kufikiri kwa usahihi, ni jambo lillilo wazi kwa yeyote mwenye ufahamu.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Top 10 Most Peaceful Countries in Africa-Tanzania haimo-Can you believe it?

    Unashangaa kutokuona Tz, je umeona walivyo describe hizo zilizowekwa? Usidhani kutokua na vita kunatosha kuifanya Tz among the peaceful countries, Siasa zetu tu uchwara, utawala Wa sheria ovyo, kila kiongozi anajiamlia tu yatakayompendeza, so tusing'ang'anie kuona tukiwekwa nafasi za juu, Bali...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Mkuu Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Afungwa Mwaka Mmoja kwa Kuajiri Watumishi Darasa la 7

    Embu punguzeni mihemuko ya kivyama kidogo, ndo maana hata nchi yetu kwenda mbele itakua shida sana, watu wanafikiri vyama zaidi kuliko umoja wetu kama Taifa, kila linapotokea jambo tunajaribu kucheki namna gani tutalitumia kumponda mpinzani wetu kisiasa, hii hali imepoteza kabisa maana ya...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kwa maendeleo haya, wachaga wanastahili pongezi

    Na hiyo haswa ndo sababu uchagani wameendelea na hao wa pwani wapo chini, Dunia ya Leo ni ya kibepari, lazima ujue kutafuta chako na si kutegemea wengine, hata wazungu ni matajiri kutokana na hulka zao za kibepari
  7. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda,naombeni ushauri

    Hiyo ni sawa na Game ya Brazil na Tz afu ubet 1-2 (half time-final result)
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda,naombeni ushauri

    Anataka Uhuru wa kufanya yake, kakudanganya kitoto sana
  9. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda,naombeni ushauri

    Ushalizwa mkuu, hamna mapenzi ya namna hiyo. Angalia namna ya kuendelea kivingine, bt hapo hamna kitu
  10. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke anadai mimi nimemuibia pesa zake, amani imetoweka

    Angekua amechukua yeye angekuja tafuta nn Jf?? Huyo wife kadanganywa na hawa wachungaji uchwara waliozagaa kila kona
  11. D

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

    May your soul rest in Peace professor, we will miss you so much. Mara zote huwa tuna desturi ya kunena sifa njema kwa marehemu wote hata kama hawastahili.,bt for sure prof Lwambuka anastahili kila aina ya sifa njema, ni wazi kila mwanaCOET aliyepita mikononi mwake atakubaliana na Mimi katika...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

    Since last year ni Prof in Tanzania pia
  13. D

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kutangaza Nia na ninaomba Mniunge Mkono katika Hili!

    Bingo ilikua miaka hiyo si dunia hii ya digitali, Bt na mi ka vile nimefall in love na avator yako, sijui na mi naweza pata bingo japo najua sio your real picture.
  14. D

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kutangaza Nia na ninaomba Mniunge Mkono katika Hili!

    Kaza buti mkuu.,Ila Lara mtoto wa town mishe mishe na uhuni mwingi, we mkulima wa nyanya utamweza kweli.?
  15. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu analeta kiburi, hataki niongeze mtoto wa sita

    Duh! Mkuu unatokea pande zipi??? Yaani siku hizi watoto wa 3 tu ni wengi mno, we wa 5 ndani ya miaka 7 na bado unataka wengine wa 3 ili wafike 8??? Hakika hizo zama zishapitwa na wakati, unamzeesha mkeo bure. Babu zetu walifanya hivyo coz maisha ya kipindi chao yalikua na details chache, ilikua...
Back
Top Bottom