Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

Kesho mwili wake utaagwa udsm SAA tatu asubuhi,na Leo SAA 11 jioni Nyumbani kwake Mbezi Beach.R.I.P Prof
 
View attachment 319151

Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.

RIP prof. Tutakukumbuka daima, bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
 
mkuu pumba ipi hapo au ndio ukweli mchungu?
Kusema Tanzania kuna chuo kimoja.hata Mimi nilisoma udsm enzi tunaita Fass class of 2004 siku hizi school of social science lakini siwezi sema Tanzania kuna chuo kimoja huo ni upunguani.
 
R.I.P Prof,
"Call me whatever" SD 106, Zero members on forces was easily elaborated and resolved even though the subject was so tough.
 
"Tukutane next period for more examples on friction"those were last words on friday Engineering mechanics session !
Mara nyingi kipindi huisha pale anapoongea kiswahili
 
May your soul rest in Peace professor, we will miss you so much. Mara zote huwa tuna desturi ya kunena sifa njema kwa marehemu wote hata kama hawastahili.,bt for sure prof Lwambuka anastahili kila aina ya sifa njema, ni wazi kila mwanaCOET aliyepita mikononi mwake atakubaliana na Mimi katika hili.
 
De swaggz Prof hakuwa na makuu yeye alijua kufundisha tu, kimsingi wataukosa mchango wake wadogo zetu
 
Dah mwaka Wa kwanza udsm hiyo ingawa niliishia njiani. Mambo ya kuimagine force Hui inakwenda hivi na vile wacha tu. Pole. Kwa ndugu jamaa na marafiki. A.K.A
 
Jay Jay pole sana ila maisha sio Coet pekee, wengi waliishia njiani lakini hii leo wanawakilisha taifa sehemu mbalimbali
 
Mzee wa Free Body Diagram ... Pengo lake ni ngumu kuzibika. Rest in Peace Prof.
 
mkuu usimbishie sd ilikua kwa watu wa structure eng (civil yote) ila wengne kama mining electrical telecom na coet wengne walikua na code tofaut na sd
Mkuu, code ni moja tu, SD, unless uwe unarefer kozi nyingine, but mwaka wa kwanza anafundisha SD.
 
Back
Top Bottom