Recent content by de concious one

  1. D

    Old arusha pics

    love u arusha, home swty hme.
  2. D

    Chupi

    si zile kama za kwako.
  3. D

    Diamond Akifundishwa Kuogelea

    Teh teh, mwkilsh we2 huyo 2016 olmpic itakayo fanyka brazil. 2mpen saport jaman. hahahahahahaha. .
  4. D

    TCU selection hizo!

    sasa siwatangaze wanasubiria nini!
  5. D

    Je! Wafahamu kinyesi chaweza leta mambukizi ya ukimwi?

    Breaking:NEWZ! wanasayansi wa tanzania wamechunguza na kugundua pia KINYESI CHAWEZA SABABISHA MAMBUKIZI YA UKIMWI(ukosefu wa kinga mwilini) Kwa hivyo basi ni vyema kila mtu awe na choo chake kwa kujikinga na kuilinda afya yako.
  6. D

    kwa nini unatumia nick name au a.k.a

    hi kwa nini tusingekua tunandika majina yetu yote yani ful name na cyo a.k.a kama unaitwa Mbaga Tamambele basi uandike lote na siyo unfpsha mara eg (M de t-a.k.a ya Mbaga Tamambeke ) kwa nini iwe majna mengne na siyo la asili lako bnafsi!?
  7. D

    Karudi Baba Mmoja (Toleo Jipya)

    yaaaya yaya! nalikumbuka enz hizo anatafutwa mja anaye jua kusoma vzuri afu anasomea nyie mnamfuatiliza kwa nyuma dah afu shair zuri kwel na ujumbe wake pia unamana
  8. D

    Hawa TCU inakuwaje jamani

    na kwa wale walio fnya kuomb DIP tayar zmesha toka kw walio chaguliwa but 2zid kuomb mungu coz TCU Jaman pasua kchwa na hi new systm yao ya onlne mmh! n shda 2pu xam tme!! though inasmplfy work but inabor pia.
  9. D

    Do Zombies and Vampires Exist?

    ni mtazamo 2, na kila aliwazalo mjinga ndio linalo mtokea teh! cjui 2jiulize mimi na wew
  10. D

    Chezea wazaramo wewe!?!!

    hahahaha! so jamaa alikua na pressure huyo na wazaramu nao wakampa dawa yake chezea wazaramo wew!!?
  11. D

    Chezea wazaramo wewe!?!!

    kesi ngumu sana hi wameishndwa!
  12. D

    Chezea wazaramo wewe!?!!

    upo salama kweli mguno huo una2tisha jaman kwemaaa. . !
  13. D

    Chezea wazaramo wewe!?!!

    kweli ktk hi dunia kuna majabu sana na ukiambiwa kua uyaone usidhani maghorofa! ni majabu ya watu hapa duniani.jamaa moja adaiwa kuwa mwzi,kbaka.mdokozi sugu hapo mtaaa mbya zaidi aliwasumbua watu sana kwa tabia yake hiyo mungu si athuman siku moja kakosea njia kazama kitaa ambacho wazaramu ni...
Back
Top Bottom