Aisee sijui hata ni nini?! mm mwenyewe programs zilikuwa eligible leo eti ni check in progress cjui nn kitafuata,may almightly God be with us.
Kweli kaka kwamba selection tayari?
nasikia ya kwamba commt ya tcu inakaa leo so kitu kitakua hewani next week
Unamaanisha na HESLB wamemaliza mambo??
ndo mpango mzima kaeni mkao wa kula
Afadhali maana nilikua na NJAAA haipimiki
Afadhali maana nilikua na NJAAA haipimiki
kaka sidhani kama haka ka WEEK katapita hivihivi