Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,348
wakati walimu walikuwa walimu kweli, nilijauwa fundi wa kutunga tune za haya mashairi
Ili lilikua linanitoa machozi,,dah
Ili lilikua linanitoa machozi,,dah
Hili shairi umenikumbusha mbali sana,tulipigwa ndani ya wiki kila mtu alikuwa anachana mistari kama hana akili nzuri.Chezea kipigo weye!
Daaaaaaaaaaaaaaaah! Long time
ha ha ha ha ha sijui ilikuwa darasa la tano... kweli zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii