bora tigo kuliko vodacom,voda mtu unakuwa hewani halafu mtu anakuambia namba yako haipatikani.na hawachukui hatua yeyote in short voda wamebweteka sana,wengi tunaendelea kuwahama taratibu sababu hawaboreshi huduma zao ili ziwe bora.
bongo kila kitu siasa ndio maana hatuwezi songa mbele,dunia nzima kwa sasa mpira unahitaji pesa ya kutosha ili uweze kufanikiwa,sasa kama serikali haitaki club zibinafsishwe wawe wanatoa pesa wao ili club ziweze kujiendesha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.