Leo nimekuja kujua kuwa lemutuz ni jamaa flan asiyekuwa na akili. Cjui nilichelewa wapi kujua hilo!! Msando hakukosea kutoa maoni yke ni kama ushauri kwa wasanii" wazo zuri lakn huku mtu mwenye utindio wa ubongo kubwa zima linaanza kuandika IG upuuzi na kumkashifu msando"
nakubaliana na ww 60%!! ngoma ya stamina mpya na fid q cjaona ki2 cha maana sana zaid ya mistari yake hiyo ya kiujanja ujanja 2 mfano-(taifa linaitaji sensa ya mateja) (unakula unga utafikiri unaundugu na bakhresa) mistari ya kiwaki sna kwa mc wa hip hop!! ukija kwa roma mkatoliki hii track yake...
tusubiri nao google watakuja na nin kdadeki vita vyao raha kwetu watazamaji na watumiaji wakubwa tusiosumbua vichwa kubuni tunasubiria kubuniwa na kuwatajirisha#japo vna manufaa pia kwetu.
Ni zaman lkn nakumbuka nilichomwa sindano ya crystapen na nurse mmoja hiv nilijikojolea hapo hapo daaah!! Baada ya hapo nurse alinipa karanga kujipoozea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.