Hapo haina haja hata ya kuandika barua kokote kwa kuwa bado haujajisajiri.
Mimi mwaka jana niliomba chuo kupitia TCU na sikuripoti kwa sababu zangu binafsi na mwaka huu nimeomba chuo kupitia mfumo huo huo na nimechaguliwa na admission letter nimepata.
Kikubwa usiwe umesajiriwa.
Wana JF habari za majukumu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, Kwa mara ya kwanza naweka uzi huu humu jamvini!
Miaka 17 iliyopita baba yangu alifariki na kutuacha mimi na mdogo wangu wa kike ambaye tunachangia baba ingawa mama wa mdogo wangu ni mama yangu pia kwani alinilea kwa upendo na...
Kama ulisoma computer engineering dipkoma yake ni miaka 3 unaweza kuapply MUST kuna course ya architecture ambayo utasoma miaka 4 ila kama utataka kusoma Ardhi ni miaka 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.