Wasafi haijafikia hatua yakushindana na clouds hata robo na itaitajika muda ili kufikia lengo hilo na mnavyompa kichwa eti anawatia mawingu prsser dah! basi mondi anaona kweli kiuhalisia mond anatakiwa atulize akili akishindana kapotea sio kidogo kikweli....
Mkuu naomba unijuze nikweli kabisa wasafi wameshafika atua hata yakushindana na redio free au kiss bado msimjaze mond aladhani ameshakua mkuu media inaitaji ufumilivu na ubunifu aise sio kwamba inasikika basi ushafika nop bado wanamuda wakutosha na inabedi mumshauri atafute watu wabunifu kwani...
Ni kweli kwani kuna maeneo yakiimani yanaitaji sana heshima kama kuna jambo kuna njia zkutumia sio unaingia kama umeenda kwenye kibanda cha gongo kwani unawapa butwa watu ambao hawajui kinachoendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.