Kama Chadema Wasingekuwepo kwenye kinyanganyiro cha Hizo Majimbo Mawili ya Ubunge Nakuam ia Hakuna hata Mtu Angekuja kusikiliza CCM anasema Nini.Chadema ndicho chama chenye Ushawishi Mwingi katika Kampeni na Kupata kura nyingi Ni Chedema tuu.Ila Siku ya Kuhesabu kura.Hapo ndiyo Matatizo Makubwa...
Kama tukiungana.Nakuambia ni Congo peke yake inatosha kulisha Bara lote la Africa.Alafu hizi nchi nyingine ni kusambaza Maendeleo kote katika Bara lote la Africa.
Yaani Pamoja Na Pesa Zote hizo.Lakini Ndiyo Basi tena.Hata ukimuomba Mwenyezi Mungu Akupe hata Dakika 1 tuu ili uweze kuziona Mali zako.Lakini Milango yote tayati imefutwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Ndiyo Mdafu.Huku kwenyewe hata kufika shida.Mdau ndiyo Maana nime comment.Inanihusu.Sasa wewe kwikiwikiwkiiw na povu linakutoka Mada yewenye hata haikuhsu.Kama vitu hamjui wacha kucomment.Kaa Pembeni wewee
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Hivi Ninyi Watu Mnajua Ninacho kiongea Au vipi Ninyi Mijitu.Fikiria kwanza ndiyo Uweze ku comment.Mnapayuka payuka tuu hata Kufika kwenyewe huku kwenye hizi mbuga hamjawahi hata siku moja.N
Nimesema kuwa Barabara Ni Mbovu sana hata hizi crueser tunazo zitumia kupeleka watalii huku zinaharibika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.