Recent content by david kanyelele

  1. D

    Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

    CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa mikoa tisa tu peke yake inabidi nchi nzima mikoa yote ikibwage CCM maana hiyo mikoa tisa chama kingine kikishinda inabidi CCM isipate hata kura moja ya urais.
  2. D

    Jamani wazazi na mke nani zaidi

    Mzazi ana umuhimi wake tena sana ila mke anayo pia umuhimu katika maisha ya mwanaume ndio maana watu wanasema ukimkosea mzazi utapata laana walijua wanamaanisha nini.
  3. D

    Mbowe sasa yuko tayari na ameiva kwa kazi ya Urais

    Ahaa wapi ndivyo mnavyojidanganya rais ni Mungu pekee anamjua
  4. D

    Mwisho wa Chenge umefika rasmi

    Kung'oka kwake itakuwa ngumu mpaka wananchi waamue mwakani au yeye akubali kukaa nje uchaguzi ujao
  5. D

    Halima Mdee apelekwa mahabusu

    Kama ana kosa ahukumiwe tu acheni mahakama ifanye kazi yake
  6. D

    Wanasema tujiajiri wao mbona hawajiajiri?

    Washajiajiri kwa kutuuibia
  7. D

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Muungano tuudumishe na rasimu hii ya katiba hii tuipitishe
  8. D

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Huyo asahau labda abadili mwenendo wake wa kisiasa
  9. D

    Msaada mawazo: Unaweza kumrudia mwanamke ambaye amekucheat?

    Unaweza kurudiana nae inategemea kama alikuwa anakupa vitu ambavyo hukuvitarajia kuvipata kwa wengine
  10. D

    Edward lowassa the coming president

    In your dream the next president will be known next year for me mr. Membe is my choice
  11. D

    Hivi wajumbe wakristo kwenye bunge la katiba wameenda mahususi kupinga fikra za waislam??

    Bora rasimu mpya imepita walikuwa wanasema haitapita
Back
Top Bottom