Recent content by DASM

  1. DASM

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Kum Kuingia kwenye ulevi ndio kosa la kwanza umelifanya na kufukuza mwanamke ndio kubwa umelifanya litakugharimu. Ungeendelea kuishi na mwanamke kwanza huku unaendelea kujipanga polepole. Maisha sio ya kuyakatia tamaa hivo
  2. DASM

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Nenda hospital kapime ujue tatizo linaanzia wapi level za hormones, pressure, pima vidonda vya tumbo, sukari(diabetes) angalia kama una tatizo la mngongo kuchemka na miguu kuwaka moto kwanza (tatizo la neurons). Miguu kuwaka moto na mgongo kuchemka unatumia vidonge vya neurobion na pregabalin...
  3. DASM

    JamiiForums Tanzania Ni jeuri ya pesa ? Gachuma, tajiri wa Mwanza kampeleka Diamond Tarime kwajili ya Birthday wakati angehitajika harusi ya mtoto wa tajiri wa Katoro

    Christopher Mwita Gachuma ni mkurua na ndie ni mmiliki wa new Mwanza hotel, Nyanza bottling company ltd na hisa coca-cola mwz 51% , mmiliki wa kiwanda Cha Maji ya Dasani, mmiliki wa kiwanda Cha bia za Serengeti, campuni ya ujenzi CMG na hotel CMG hotel Tarime etc . Huyu ndie tajiri namba moja...
  4. DASM

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Pamoja na sababu zote hizi dar es salaam will still be commercially and business centre of Tanzania in many years to come. No any projection which favours dodoma to overtake dar es salaam city. Dar es salaam still expanding industrial bado zinaendelea kujengwa dar es salaam. Steel industry hata...
  5. DASM

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Look Johannesburg vs Pretoria and Capetown, look Lagos vs Abuja , look New York vs Washington DC, look Shanghai and Guangzhou vs Beijing. Kuna miji inakua kibiashara na mingine political and admistrative. Look kahama vs shinyanga. Dodoma inakuwa admistrative but not commercially like dar es salaam.
  6. DASM

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Dodoma sio rahisi kuipiku dar es salaam hata kidogo . Dar es salaam ndio business hub ya Tanzania na Africa mashariki . Mji wenye bandari, airport , viwanda na ni gateway ya eat and central Africa.
  7. DASM

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike kitaongeza thamani kwa wanaume wengi kutoa mahari kwa wanawake wanaowaoa?

    Wanawake watunze ubikra wao .
  8. DASM

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Aidan msigwa wa chunya ndio alipigaga billion 20 cash kwa kuuza dhahabu. Laizer sawa
  9. DASM

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

    Ukweli uliopo Nyerere alikuepo amesoma na alikuwa msomi na hao wa shehe wengi walikuepo hawana elimu Dunia . Walitaka kuendesha nchi kwa kutumia mshahafu kitu ambacho ilikuepo ni vigumu . Pia Tanganyika ilikuepo na mpaka Sasa wakristo ni wengi zaidi kuliko waislam wakristo ni 65% na waislam ni...
  10. DASM

    JamiiForums Tanzania Namba mnisaidie ushauri nisome kozi gani na chuo gani kwa ufaulu huu

    Human resources management
  11. DASM

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Kutoboa ni malengo ya mtu. It will take time ila hizo biashara zote nimeiona watu wengi wamefanikiwa mpaka kukimbilia kwenye level za shs billionaires.
  12. DASM

    JamiiForums Tanzania Kabla ya sasa hivi tulishwahi na Waziri wa Fedha Mzanzibari kwenye muungano?

    Salum saada mkuya aliwahi kuwa waziri wa fedha kipindi Cha JAkaya
  13. DASM

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji/pesa kidogo acha kukaa nyumbani/gheto, acha kutosheka/kusubiri Ajira

    Hiyo Kodi ya fremu kwa mwezi kuipata ni changamoto . Na mtaji wa kuweka mzigo nayo ni changamoto
  14. DASM

    JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako

    Elon musk, bill gates, aliko dangote,jeff bezoes hao Wana ndoa
  15. DASM

    JamiiForums Tanzania Mzazi anaona bora mtoto alipwe laki 3 akiwa ameajiriwa kuliko kupata million 1 ya kujitafutia

    Wanajua ukiajiriwa Kila mwishoni mwa mwezi itakuepo unawapatia kiasi Cha pesa ili wajikimu kimaisha. Mfano Mimi baba yangu alikuepo ni mfanyabishara wa hardware na malori + kilimo nyanda za juu kusini. Alipofariki 1997 tuu biashara zikashindwa kwenda na tukabankrupty . Binafsi nikafanikiwa...
Back
Top Bottom