Na wanakusanya mapato . Mfumo wa local government ni mfumo wa hovyo sana kuwahi kutokea. Yaani halmashauri zinakusanya hela .
Ila pesa yote inayokusanywa ni kwaajili ya kumlipa posho mkurugenzi kwenye safari zake na kuwalipa madiwani posho za vikao. Makusanyo hayaelekezwi kwenye kuboresha...
Repair haiwezi kula makusanyo yote ya mwaka. Inakula kidogo hata ikiwa 20 percentage ya makusanyo sio mbaya biashara ambayo sitaki kuifanyia Mimi ni kujenga nyumba za kupangisha na kuanza kukimbizana Kodi na wapangaji ila ukiwa na hotel au Lodge in good location mtu analipia kabla ya kulala na...
Nyumba za kupanga na apartment ndio return ni kwa mda mrefu ila hotel $ lodge kama ipo location nzuri return inakuja haraka sana . Hotel na lodge Kila mwaka itakubidi ufanye repair
Mo only is dollar billionaire tokea kipind Cha president Jakaya kikwete . Tanzania hatufanyi vizuri kwenye hii nyanja kwasababu uongezekaji wa matajiri ni mdogo sana . Mazingira ya kuwekeza Tanzania ni magumu
Mo am
Tanzania imekuepo na dollar billionaires kwa miaka mingi sana . Tena dollar billionaires wa kwanza Tanzania alikuepo ni Rostam Aziz . Ila Rostam alidrop na mo dewji akapanda . Mo dewji ni dollar billionaires tokea 2013 mpaka sasa. Hamba alichokifanYA SAMIA ANGALAU KWA MAGUFULI DOLLAR...
Rostam aliwahi kuwa tajiri naomba Moja Tanzania . Na ndie dollar billionaires wa kwanza Tanzania. Hivi sasa ni tajiri wa pili . Ila Hawa matajiri wamewekeza kwenye nchi nyingi sio TZ tuu. Mo dewji kawekeza nchi 17 ndio inampa hadhi ya tajiri naomba Moja Tanzania
Matajiri wote mikoani watatoa pesa. Watapewa Kadi za mialiko . Tuna mikoa 26 kila mkoa utoe billion 5 itafikia lengo la billion mia mo. Ila kuna mikoa ina matajiri wachache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.