Kuna matajiri wapo mawilayani wanapesa nyingi kuwazidi watu wengi waishio kwenye majiji. Kuwekeza na kujenga bado ni asset kubwa Sana . Population inaongezeka
Ndoa ipi ndg yangu kama mahali imeshalipwa na binti + wazazi wameridhia. Kwani hapo miaka ya nyuma kabla ya dini za wazungu na waarabh ndoa zinaendeshwaje
Nchi za Africa magharibi kuna muingiliano mkubwa Kati Yao na wazungu. Watu wa Africa magharibi wameoa wazungu Sana compared na sehemu nyingine za Africa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.