Recent content by DASM

  1. DASM

    KERO Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe litazameni Soko la Ndizi Kiwira, mazingira siyo rafiki

    Na wanakusanya mapato . Mfumo wa local government ni mfumo wa hovyo sana kuwahi kutokea. Yaani halmashauri zinakusanya hela . Ila pesa yote inayokusanywa ni kwaajili ya kumlipa posho mkurugenzi kwenye safari zake na kuwalipa madiwani posho za vikao. Makusanyo hayaelekezwi kwenye kuboresha...
  2. DASM

    Unatafuta Vifaa vya Ujenzi? Karibu VN Warehouse Limited – Tunauza Jumla na Rejareja

    Hujataja location ilipo ofisi yako. taja sehemu either ofisi yenu ipo mkoa gani, wilaya gani tangazo lipo too generala
  3. DASM

    KERO TRA wameongeza kitu kwenye makato yao ya kodi ya pango?

    Nauliza hivi kama Fremu ni yangu hiyo Kodi wanakataje. Kama fremu nimenunua au nimejenga fremu inakuwaje
  4. DASM

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Repair haiwezi kula makusanyo yote ya mwaka. Inakula kidogo hata ikiwa 20 percentage ya makusanyo sio mbaya biashara ambayo sitaki kuifanyia Mimi ni kujenga nyumba za kupangisha na kuanza kukimbizana Kodi na wapangaji ila ukiwa na hotel au Lodge in good location mtu analipia kabla ya kulala na...
  5. DASM

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Nyumba za kupanga na apartment ndio return ni kwa mda mrefu ila hotel $ lodge kama ipo location nzuri return inakuja haraka sana . Hotel na lodge Kila mwaka itakubidi ufanye repair
  6. DASM

    Mademu hawanikubali?

    Tafuta pesa ndugu yangu kazana kutafuta maisha kwanza
  7. DASM

    Miaka 4 ya Samia,Tanzania yaongoza kwa Kuzalisha mabilionea wengi Afrika Mashariki

    Mo only is dollar billionaire tokea kipind Cha president Jakaya kikwete . Tanzania hatufanyi vizuri kwenye hii nyanja kwasababu uongezekaji wa matajiri ni mdogo sana . Mazingira ya kuwekeza Tanzania ni magumu
  8. DASM

    Miaka 4 ya Samia,Tanzania yaongoza kwa Kuzalisha mabilionea wengi Afrika Mashariki

    Mo am Tanzania imekuepo na dollar billionaires kwa miaka mingi sana . Tena dollar billionaires wa kwanza Tanzania alikuepo ni Rostam Aziz . Ila Rostam alidrop na mo dewji akapanda . Mo dewji ni dollar billionaires tokea 2013 mpaka sasa. Hamba alichokifanYA SAMIA ANGALAU KWA MAGUFULI DOLLAR...
  9. DASM

    Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

    Tafuteni mdada wa kazi atakayefanya kazi in your absence
  10. DASM

    Anayoyaongea Polepole ni kwa maslahi ya nani na kwa nini?

    Sema hutaki wewe. Usiwaongelee watu wote sema wee hutaki . Wewe ni chawa
  11. DASM

    Rostam Aziz alitakiwa kuwa ndiye mlipa Kodi mkubwa kuliko wote wa nchi hii, kwanini Sivyo?

    Rostam aliwahi kuwa tajiri naomba Moja Tanzania . Na ndie dollar billionaires wa kwanza Tanzania. Hivi sasa ni tajiri wa pili . Ila Hawa matajiri wamewekeza kwenye nchi nyingi sio TZ tuu. Mo dewji kawekeza nchi 17 ndio inampa hadhi ya tajiri naomba Moja Tanzania
  12. DASM

    Maaskofu na Watumishi wa Mungu acheni kuhubiri siasa kwenye nyumba za Mungu mnajitesa bure pia mnatupotezea muda wetu Bora tungekaa nyumbani tu

    Gungieni kanisa Hilo kama linajubiri siasa. Waambie mamlaka wafungie kanisa Hilo ili iwe f fundisho kwa madhehebu mengine
  13. DASM

    Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

    Miaka 37 ndio Nina mtoto mmoja na mke. Unaharakia nini kama huko vizuri endelea kujitafuta polepole
  14. DASM

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Ni lini hiyo sensa ya mifugo imefanyika. Acheni utapeli
  15. DASM

    Kama CCM hawatatimiza Bilioni 500 kwenye harambee yao nipigwe ban ya maisha

    Matajiri wote mikoani watatoa pesa. Watapewa Kadi za mialiko . Tuna mikoa 26 kila mkoa utoe billion 5 itafikia lengo la billion mia mo. Ila kuna mikoa ina matajiri wachache
Back
Top Bottom