Recent content by DASM

  1. DASM

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Wapo waliofanikiwa wakiwa nje ya nchi tena ni wengi sana especially in Europe countries na Asian countries. Hata wanaoimport bidhaa nchini wengi ni wale walioenda nchi za nje kutafuta na wakagundua Kun vitu vinahitajika Tanzania nav wakaanza ku import tz. Wengine walioenda kwa kupata...
  2. DASM

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Ndg yangu level za kujifananisha na kujifanya unaipenda ccm na unaijua ccm kuliko Mzee jaji Joseph Sinde warioba . Sinde Warioba alikuepo ni Makamu wa kwanza wa Rais na pia waziri mkuu sio level ndogo. MWenxio kama ni kufaidi mazuro ya ccm huwezi kumxidi
  3. DASM

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kijana wa mjini asiye na pesa katika zama hizi kumiliki mwanamke mzuri

    Ilishanitokea hii Kuna mdada aliniomba lift kwenye pikipiki yangu tukiwa tunatokea ofisini ghafla Prado ikasimama akashuka pikipiki akapande gari
  4. DASM

    JamiiForums Tanzania Kinachosikitisha wa Tanzania waliozamia SA wemerudi na umaskini

    Hao ni mateja tuu. Kama wanavyoonekana
  5. DASM

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali irekebishe Kanuni hizi, zinatuzuia wenye Diploma za Medicine kusomea Degree

    Nenda ukasomee nje ya nchi inawezakana vigezo vipo tofauti tafuta vyuo Uganda, Kenya , Malawi au Zambia . Angalia entry qualifications zao zipoje
  6. DASM

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Kama hu Kama huduma mbovu ni Bora kuomba talaka ili uende ukaolewe kwa huyo mwenye huduma nzuri. Kuliko kuteseka kwa kuiba Bora kukubali kuachika ikiwezekana kwa talaka ili kwenda kwa mwenye huduma nzuri
  7. DASM

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Kum Kuingia kwenye ulevi ndio kosa la kwanza umelifanya na kufukuza mwanamke ndio kubwa umelifanya litakugharimu. Ungeendelea kuishi na mwanamke kwanza huku unaendelea kujipanga polepole. Maisha sio ya kuyakatia tamaa hivo
  8. DASM

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Nenda hospital kapime ujue tatizo linaanzia wapi level za hormones, pressure, pima vidonda vya tumbo, sukari(diabetes) angalia kama una tatizo la mngongo kuchemka na miguu kuwaka moto kwanza (tatizo la neurons). Miguu kuwaka moto na mgongo kuchemka unatumia vidonge vya neurobion na pregabalin...
  9. DASM

    JamiiForums Tanzania Ni jeuri ya pesa ? Gachuma, tajiri wa Mwanza kampeleka Diamond Tarime kwajili ya Birthday wakati angehitajika harusi ya mtoto wa tajiri wa Katoro

    Christopher Mwita Gachuma ni mkurua na ndie ni mmiliki wa new Mwanza hotel, Nyanza bottling company ltd na hisa coca-cola mwz 51% , mmiliki wa kiwanda Cha Maji ya Dasani, mmiliki wa kiwanda Cha bia za Serengeti, campuni ya ujenzi CMG na hotel CMG hotel Tarime etc . Huyu ndie tajiri namba moja...
  10. DASM

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Pamoja na sababu zote hizi dar es salaam will still be commercially and business centre of Tanzania in many years to come. No any projection which favours dodoma to overtake dar es salaam city. Dar es salaam still expanding industrial bado zinaendelea kujengwa dar es salaam. Steel industry hata...
  11. DASM

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Look Johannesburg vs Pretoria and Capetown, look Lagos vs Abuja , look New York vs Washington DC, look Shanghai and Guangzhou vs Beijing. Kuna miji inakua kibiashara na mingine political and admistrative. Look kahama vs shinyanga. Dodoma inakuwa admistrative but not commercially like dar es salaam.
  12. DASM

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Dodoma sio rahisi kuipiku dar es salaam hata kidogo . Dar es salaam ndio business hub ya Tanzania na Africa mashariki . Mji wenye bandari, airport , viwanda na ni gateway ya eat and central Africa.
  13. DASM

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike kitaongeza thamani kwa wanaume wengi kutoa mahari kwa wanawake wanaowaoa?

    Wanawake watunze ubikra wao .
  14. DASM

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Aidan msigwa wa chunya ndio alipigaga billion 20 cash kwa kuuza dhahabu. Laizer sawa
  15. DASM

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

    Ukweli uliopo Nyerere alikuepo amesoma na alikuwa msomi na hao wa shehe wengi walikuepo hawana elimu Dunia . Walitaka kuendesha nchi kwa kutumia mshahafu kitu ambacho ilikuepo ni vigumu . Pia Tanganyika ilikuepo na mpaka Sasa wakristo ni wengi zaidi kuliko waislam wakristo ni 65% na waislam ni...
Back
Top Bottom