Kum
Kuingia kwenye ulevi ndio kosa la kwanza umelifanya na kufukuza mwanamke ndio kubwa umelifanya litakugharimu. Ungeendelea kuishi na mwanamke kwanza huku unaendelea kujipanga polepole. Maisha sio ya kuyakatia tamaa hivo
Nenda hospital kapime ujue tatizo linaanzia wapi level za hormones, pressure, pima vidonda vya tumbo, sukari(diabetes) angalia kama una tatizo la mngongo kuchemka na miguu kuwaka moto kwanza (tatizo la neurons). Miguu kuwaka moto na mgongo kuchemka unatumia vidonge vya neurobion na pregabalin...
Christopher Mwita Gachuma ni mkurua na ndie ni mmiliki wa new Mwanza hotel, Nyanza bottling company ltd na hisa coca-cola mwz 51% , mmiliki wa kiwanda Cha Maji ya Dasani, mmiliki wa kiwanda Cha bia za Serengeti, campuni ya ujenzi CMG na hotel CMG hotel Tarime etc . Huyu ndie tajiri namba moja...
Pamoja na sababu zote hizi dar es salaam will still be commercially and business centre of Tanzania in many years to come. No any projection which favours dodoma to overtake dar es salaam city. Dar es salaam still expanding industrial bado zinaendelea kujengwa dar es salaam. Steel industry hata...
Look Johannesburg vs Pretoria and Capetown, look Lagos vs Abuja , look New York vs Washington DC, look Shanghai and Guangzhou vs Beijing. Kuna miji inakua kibiashara na mingine political and admistrative. Look kahama vs shinyanga. Dodoma inakuwa admistrative but not commercially like dar es salaam.
Dodoma sio rahisi kuipiku dar es salaam hata kidogo . Dar es salaam ndio business hub ya Tanzania na Africa mashariki . Mji wenye bandari, airport , viwanda na ni gateway ya eat and central Africa.
Ukweli uliopo Nyerere alikuepo amesoma na alikuwa msomi na hao wa shehe wengi walikuepo hawana elimu Dunia . Walitaka kuendesha nchi kwa kutumia mshahafu kitu ambacho ilikuepo ni vigumu . Pia Tanganyika ilikuepo na mpaka Sasa wakristo ni wengi zaidi kuliko waislam wakristo ni 65% na waislam ni...
Kutoboa ni malengo ya mtu. It will take time ila hizo biashara zote nimeiona watu wengi wamefanikiwa mpaka kukimbilia kwenye level za shs billionaires.
Wanajua ukiajiriwa Kila mwishoni mwa mwezi itakuepo unawapatia kiasi Cha pesa ili wajikimu kimaisha. Mfano Mimi baba yangu alikuepo ni mfanyabishara wa hardware na malori + kilimo nyanda za juu kusini. Alipofariki 1997 tuu biashara zikashindwa kwenda na tukabankrupty . Binafsi nikafanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.