Recent content by Daniel Albert

  1. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi

    Pasport utata kaka
  2. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi

    Ntashukuru kaka
  3. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi

    [emoji109]
  4. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi

    Mm ni kijana wa miaka 30 ni chef mzoef wa vyakula vyote vya kiswahili pamoja na bites zote na pia naweza kutengeneza burger, pizza, all types of fried rice and many more pia naweza kuandaa menu na kufanya set up ya jikoni na kusimamia jiko vizuri...kwa mawasiliano 0785724008
  5. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi, niko Dodoma

    Naomba msaada, mimi ni mpishi wa vyakula vyoote vya Kiswahil na bites mbalimbali na vya kizungu baadhi kama Pizza, burger, beef sizzla nk Namba yang ni 0692111145
  6. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, mimi ni mpishi ninayeweza kupika vyakula aina lukuki

    Mm niko mwanza kaka ni mtaalaam wa kupika na ninaenda mkoa wowote Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Daniel Albert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenye filamu za fight hakuna kama Scott Adkins

    Hakuna kama michael jai white ww Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi katika Jiji la Mwanza

    Asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya upishi katika Jiji la Mwanza

    Mimi ni mpishi wa vyakula mbalimbali na bites pia niko Mwanza namba yang ni 0747271066 tafadhali yeyote mwenye fununu wap ntapata anijuze. Natanguliza shukrani. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Daniel Albert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Malawi na Zambia Wanawake hawana mvuto kabisa

    Na yake mapoda yao ya njano yale daaaa nenda chin sasa msitu kama wote
  11. Daniel Albert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nampenda Ila ananipiga

    Sasa kama unampenda na anakupiga mara kwa mara kaa kimya sasa na uvumile
  12. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Wakili Stanry Julius na wenzake wafariki kwa ajali ya moto Iringa

    Iv ndo kusema unajua ngel au umesoma kiswahil ukaelewa af un koment ngel duuuuu
  13. Daniel Albert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfahamu Mwanamke aliyefika kileleni

    Hapo kwenye kuona mishipa ya uke inakaza hapo ndo shida mzee inabd tuchungulie au sio??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
  14. Daniel Albert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nmesahau apple id

    Kwan inakuruhusu kupokea sim na kutuma sms na mambo mengine???tuanzie kwanza hapa
  15. Daniel Albert

    JamiiForums Tanzania Msaada: kama upo US(Marekani)

    Kwa nchi kama marekane kuna kaz nying sana labda awe anachagua na pengine labda hana work permit mzee..mwambie asichague kaz aisee apige kaz yeyote huko hakuna anayemjua bro
Back
Top Bottom