Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 983
huyo kakupapasa tu,,angekuchakaza kisawasawa hata simu usingeweza kushika
Hizi mambo nimezoea kuzisoma FB... 99% zikiwa hazina uhalisia wala ukweli wowote na mara nyingi zikitumika za watu wengine kwenye matukio mengineHabari za asubuhi wakuu.
Hi imenisikitisha Sana. Nisiongee mengi.
" Mchumba wangu ananipiga mara kwa mara,Lakini bado nampenda,Na tuko mbioni kufunga ndoa,nifanyeje?"View attachment 1104345
Kikubwa hakikisha unakua na first aid yako nyumban yenye kila kitu..dawa za vidonda, sprit,dawa za kupunguza maumivu n.k
Usimwache mchumba wako[emoji41]
Ukisikia kupigwa mpaka uchakae ndio huko
Umeanza vizuri ukamalizia kifalaAsante Mungu sina hayo mapenzi ya kifala.
Hahahahaaaa km huyo aliyepigwa kipigo km cha mwizi ndo shem duuuh hongera zake, manake hayo mapenzi yamezidi offside, kipigo km cha mbwa mwizi au paka shume hahaaahaaaaaHabari za asubuhi wakuu.
Hi imenisikitisha Sana. Nisiongee mengi.
" Mchumba wangu ananipiga mara kwa mara,Lakini bado nampenda,Na tuko mbioni kufunga ndoa,nifanyeje?"View attachment 1104345
Habari za asubuhi wakuu.
Hi imenisikitisha Sana. Nisiongee mengi.
" Mchumba wangu ananipiga mara kwa mara,Lakini bado nampenda,Na tuko mbioni kufunga ndoa,nifanyeje?"View attachment 1104345
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo trailer ngoja akuoe uone movie yenyewe
Kama uchumba tu unahisi upo gwantanamo hio ndoa itakuaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikubwa hakikisha unakua na first aid yako nyumban yenye kila kitu..dawa za vidonda, sprit,dawa za kupunguza maumivu n.k
Usimwache mchumba wako[emoji41]
[emoji106]Vijana siku mnasomana tabia kabla ya kuoana. Kwa hiyo wewe umemsoma ukajua huyu ni mpigaji ngumi kwa mwenza. ? Olewa naye kama umekosa wengine ila maisha yako yote utapigwa zaidi ya hapo. Ulishasikia wanaume wanaopiga wake zao hadi wanavuta sehemu zao za siri kwa plaizi? Wapo. Na huko ndiko unakoeenda kuolewa . ingekuwa mwanangu hata mahari sipokei. Uzuzu ni huo halafu utamlaumu Muumba eti huna bahati na ndoa
Au huna uwezo wakusimama kwa maisha peke yako? Nenda kateseke. Wala haikuwa na haja kusema uzobe wako binti.