Recent content by Danido

  1. D

    Kiwanja kinauzwa jijini Dodoma

    Mzalee, naomba maelekezo zaidi mimi dodoma siielewi vizuri. Ni umbali gani kutokea dom mjini? Na ni uelekeo wa barabara ipi?
  2. D

    Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

    Mwenye sikio la kusikia na asikie maana watu wanadhani kuzaa ni investment.
  3. D

    Uhamiaji bado kuna tatizo kubwa sana

    Lakini kuna matangazo yamebandikwa kila mahali hapo uhamiaji ya kuwatahadharisha wateja kuepuka madalali. Sema watanzania wanapenda sana shortcut
  4. D

    Huyu housegirl wangu anayaweza mambo zaidi ya wife

    Huo ndo ujinga wa wanawake, ndoa changa na bila kids housegirl wa nini? Hana kazi huyo ndo maana mnapata muda mfyuuuu
  5. D

    Huyu housegirl wangu anayaweza mambo zaidi ya wife

    Alijifunzia kwa wanaume wenzio.
  6. D

    Nauza hisa zangu za Voda @ Tzs 800 per moja

    Mkutano mkuu ni ijumaa wewe mwanahisa.
  7. D

    Bado tuna nafasi ya kazi kwa Finance and Accounts Manager

    Ni janga hadi nimerudia mara mbili mbili kusoma. Duh!
  8. D

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Kwa hesabu za haraka kutoka 2008 mpaka sasa ni kama miaka 9, nikitoa miaka 3 ya ualimu inabaki 6. Miaka 6 tu mmeuaga umaskin na kuajiri watu 300, si mchezo sijui mna kiwanda
  9. D

    Uhamiaji: Paspoti zinazotolewa siyo vitambulisho ndani ya nchi

    Labda wengi wao hawajawai kupotelewa na passport waone mziki wake kupata nyingine ndo maana wanaona kaongea ujinga.
  10. D

    Uhamiaji: Paspoti zinazotolewa siyo vitambulisho ndani ya nchi

    We tembea nayo tu hata mtaa wa kongo, si ya kwako? Ila siku ukipoteza ndo utajua anamaanisha nini.
  11. D

    Muda wa kunyonyesha kwa wafanyakazi (Sekta binafsi na watumishi wa Umma) waongezwa!

    Mkuu unaweza kunisaidia hicho kifungu cha marekebisho?
  12. D

    Mhagama: Waajiri wawe wamejiunga na Mfuko wa fidia kwa Watumishi lazima ifikapo tarehe 30.7.2017

    Ndio najua kusoma. Wewe pia unaweza kufungua website yao ukapata elimu zaidi ya kilichoandikwa hapa.
  13. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Ishu ya kumwaga nje haijawahi kumuacha mtu salama
  14. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Ni tarehw ya kuanza hedhi sio kumaliza mkuu Kwingine umepatia
Back
Top Bottom