Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

Nilishamuuliza hua anaona katikati ya mwezi, pia siku tunaduu alinisihi nisimwagie maana yupo siku za hatari, na nilimwaga nje lkn papo hapo nikaendelea na gemu sikua najua km ingeweza sababisha mimba,
Napata sintofahamu sababu mda wa mimba kutimia naona bado, nikiwaza aliipata kwa mwanaume mwingine basi asingesisitiza nisimmwagie ndani.

Kama ilikuwa siku ya hatari hapo condom ilikuwa inawahusu sio kumwaga nje. Lea mwanao huyo, kumbuka binadamu tunakadiria tu ila Mungu pekee ndo anajua lini mtoto atazaliwa.
 
Kwa kifupi ni hivi:-
Ukishajya tarehe,mwezi na mwaka wa mwisho ya kumaliza hedhi,

1.tarehe +siku 7
2.mwezi, (a)kama chini ya mwezi wa 4 yaani mwezi wa 3,2 na wa 1 inatakiwa ujumlishe miezi 9
(b)kama ni zaidi ya mwezi wa 3 yaani mwezi 4,5,6,7,8,9,10,11 na 12 inatakiwa kutoa miezi 3
3.Mwaka,hapa inabidi uangalie baada ya kujumlisha miezi 9 au kutoa miezi 3 je jibu la mwezi huo utaangukia mwaka gani

N.B.Kumbuka baada ya kujumlisha siku 7 je,jumla ya siku ulizopata zimezidi siku zinazohitajika kwa mwezi husika kama ndiyo basi toa siku hizo na ongeza mwezi 1 kwenye mwezi husika

Soma hapa na uangalie jinsi nilivyo calculate nafikir utapata kidogo




Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app


Ni tarehw ya kuanza hedhi sio kumaliza mkuu
Kwingine umepatia
 
Wew mwache tu hawajui vizur wanawake na bora awe amemwambia mke wake. kuhusu kuzaa nje kama anampenda kwel
Hapo kitakachotokea baada ya kukataa mtoto mara ooh tukapime DNA ndo atakapo liamsha dude mpaka mkeo atajua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli mkuu awezaliamsha kweli, maana mdada ndio kafanya mtihani wa six mwaka huu kafaulu kwenda chuo ila atahairisha kuanza chuo alee kwanza aanze mwaka ujao
 
a458c83b729e77ab9f0e6e1f8c97e1c9.jpg


Estimated date of delivery ilitakiwa iwe around tarehe 5/9/2017 !!! sio lazima iwe exactly ila huwa haipungui wala haizidi zaidi ya wiki na siku kadhaa!!! ila ya kwake imezidi kama mwezi naa hivii!!
Ila komaa mkuu uyo mtoto mlee tu sio kosa lake.
Kwa hesabu hizi mkuu, lazima nkapime DNA kwanza. Pengine wa3 nlionao sasa yupo wa mwenzangu sitaki kuongeza mwingine aisee.
 
Lea tu mkuu inawezekana hata baba yako unaemjua sio baba yako OG
Hahaaaa, mkuu umejuaje? Ila dingi mchakachuliwaji alistuka bado nikiwa mdogo kwa kufanana na dingi angu og maana walikua marafiki sana.
 
Mkuu mtoto ni wako. Umri wa mimba unakadiriwa tangu "siku ya kwanza alipoona hedhi yake ya mwisho" na pia ukipewa makidirio ya ultrasound au daktari estimates huwa ni (+/-) two weeks so kama amejifungua two weeks before or after its so normal . Hebu tumia muda ujikitie kwenye kusoma gestational age of foetus /baby. Utakuwa unamtia mwenzio kwenye msongo wa mawazo usio wa lazima kwa hofu . Kama una wasiwasi zaidi nenda kwa daktari wake mueleze naye atakutabanaisha kwa kina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli hapo pagumu, maana mtoto angetoka njiti. Kuna uwekano wakt anasema usimwage ndani tayar alikua na mimba. Ila dunia haina siri Kama ni ya mtu mwingine IPO ck atakutafuta ili myaweke sawa. Na pia Kama ni damu yako mtoto ukimwangalia tu unajua yani unapata Kama taarifa flan rohoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu
 
Kama mtoto alizaliwa akiwa njiti mtoto ni wako, ila kama hakuwa njiti mtoto si wako. Ushauri wangu: kitanda hakizai haramu kwahyo wewe timiza wajibu wako kama baba maana MUNGU anamakusudi yake huwezi jua siku zijazo mtoto atakuwa nani.
 
Na kweli mkuu awezaliamsha kweli, maana mdada ndio kafanya mtihani wa six mwaka huu kafaulu kwenda chuo ila atahairisha kuanza chuo alee kwanza aanze mwaka ujao
Kumbe una mke ? Na huyo uliyempa mimba anajuwa kuwa una mke tayari ? Kwa hiyo huyu utamuoa ama ni atabakia kuwa mchepuko tu ?
 
Back
Top Bottom