Mbolea nzuri ya kupandia ni DAP AU Yaramila otesha, utahitaji almost 24 to 30 kg ya mbegu kwaajili ya ekari Tatu.
Bei ya mbegu kwa sasa 12,000 kwa pakti yenye 2kg
Kiongozi habari, nipo mkoa wa njombe mji Makambako, nimejenga umbali wa takribani 1km kutoka Umeme wa REA ulipo ishia.
Naomba kufahamu natakiwa kupitia mchakato gani ili kuweza kupata Umeme huko!
Eneo hili ni kwa ajili ya kuishi na kufanya ufugaji
Nitashukuru kama nitajibiwa
Unapochukua mkopo lazima ujue utaratibu wa marejesho upoje! Bayport makato huenda monthly ambayo ni 3% that means annual interest ni 36%. Hivyo ukichukua mkopo fikiria interest pia muda utakao kaa nayo hiyo hela!
Baada ya hapo fanya maamuzi ukiwa na taarifa hizo
Nashukuru kwa bandiko hili, bila shaka utafanikiwa vizuri kabisa,
Ninawazo la kufuga nguruwe, eneo tayari ninalo kama ekari moja lipo nje ya mji kiasi, na tayari nimeanza kujenga kibanda changu then nifuate mabanda ya nguruwe.
Nafikiri kuanza na nguruwe 5 tuu ili nijifunze na kuona namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.