Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

Magomeni Tanga na Zanzibar kuna mashoga wengi sana, na wale mashoga ni waislamu. unataka kusema na hao walianza kula kitimoto tangu wadogo? astagfirulah


Nimeandika hivi; "ukiangalia mashoga wengi, sio wote------"

Unatakiwa usome kwanza na kutafakari kabla hujajibu.
 
hata mimi hapo nimezungumzia wengi sio wote.
Unatakiwa usome kwanza na kutafakari kabla hujajibu.


Wengi unadhani Tanzania, Magomeni, Mombasa au Afrika kuna mashoga???!!--- mbona unachekesha, hao ni harufu ya mashoga, mzoga wenyewe upo Ulaya, Marekani na China ambako Ulaji wa nguruwe ni sawa na ulaji wa ugali huku kwetu, huko Ushoga ni fahari na sifa.

Ukienda porini (in a game reserve or animal park) ukashuhudia Simba wanafanya ushoga jinsi madume ya nguruwe yanavyofanyiana ushoga, basi ukipeleleza utakuta kwamba katika eneo (territory) hiyo kuna nguruwe pori wengi ambapo hao simba hula sana hao nguruwe, ninachotaka kusema ni kwamba; hata wanyama watakaokula sana nyama za nguruwe kwa wingi nao huathiriwa na kuwa mashoga.

Katika Wanyama, wanaofanya ushoga ni jamii ya Nyani na jamii ya sokwe (primates and apes) na Nguruwe. Watu wanaokula nyama ya nguruwe huathiriwa mno na hiyo nyama kiasi kwamba wanakuwa na nafasi kubwa ya kuwa Mashoga (Mabasha au wasenge).

Kumbuka hapa sizungumzii juu ya masuala ya imani za kidini.
 
mimi sikutaka kuzunguka dunia nzima kutolea mifano ndo mana nimechukua sampo ya makazi ambayo yana waislamu wengi na mashoga wengi, dhumuni ni kukuonyesha kwamba hio dini hawali nguruwe ila mashoga ni wengi sana, hata uarabuni hawali nguruwe ila wanachokonoana sana matakoni.
unawazungumziaje waislamu hawa wanaochokonoana matakoni angali nyama ya nguruwe hawali?


Kwanza kabisa inaonekana una jazba (emotional) jinsi lugha yako ilivyo inaonyesha unachuki na dini fulani kwasababu mimi nimekwisha kukuambia kwamba sio mashoga wote wapo hivyo kwasababu ya kula nyama ya nguruwe, kama wewe unakula kitimoto na bado hujawa shoga basi ipo hatari siku moja utakuwa Shoga.

Halafu nani kakuambia kuwa "Waisilamu" wote hawali nguruwe???!!, wapo waisilamu wanakula nguruwe japo dini yao imekataza kula, ni kwa namna hiyo hiyo wapo Waisilamu wanakunywa pombe ingawa dini yao imeharamisha pombe.

Jambo jingine unalotakiwa ulijue ni kwamba tenganisha kati ya Uarabu na Uisilamu, Uarabu na Uisilamu ni vitu viwili tofauti na sio kila Muarabu ni Muisilamu.

Ninaposema kwamba Ulaji mkubwa wa nyama ya nguruwe unachangia pakubwa kuwafanya watu wawe Mashoga sina maana kwamba hakuna mashoga miongoni mwa wasiokula nguruwe, wanaweza kuwepo kutokana na muundo wa maisha ya jamii hizo, mfano mtu akisema uvutaji sigara huchangia zaidi kuleta kansa ya mapafu haina maana kwa kansa zote za mapafu huletwa kwa uvutaji wa sigara.

Chukua tatizo la ushoga Globally, huku kwetu Africa hakuna Ushoga bali harufu ya Ushoga. Nenda ulaya, Marekani, Israeli, China, nk.Ukaone huko hadi Statesmen ni mashoga, Wachungaji, Maaskofu wanafunga ndoa za kishoga nk, kuwa shoga kwao ni haki kama haki zingine na zimo kikatiba nk.
 
na hao wote uliowataja wanakula kitimoto?

kwahio cha msingi unaweza ukala kitimoto na usiwe shoga na unaweza usile kitimoto na ukawa shoga?
hapo nimekuelewa chief tupo pamoja.



Nasema hivi; nafasi ya kupata kansa ya mapafu ni kubwa sana kwa mtu anayevuta sigara lakini watu wanaweza kupata kansa ya mapafu kwa njia zingine pia.--- ni hivyo hivyo kwa upande wa ushoga, mtu anayekula nyama ya nguruwe anayo nafasi kubwa ya kuwa shoga japo sio lazima shoga yeyote huwa ni mlaji wa nguruwe.

Kuna jambo nataka kuongezea hapo; wataalamu wa lishe na chakula wanasema; "You are what you eat" yaani tabia na miili yetu ipo kulingana na vyakula tunavyokula, Nguruwe kiasili ni mnyama mchafu au ni mnyama aliyeumbwa na Mungu kwa ajili ya kula takataka (scavenger), yeye ni jamii ya Fisi, kunguru, Tai, hivyo nyama yake kama zilivyo nyama za fisi na kunguru hazifai kuliwa na binadamu mbaya zaidi nguruwe ndiye mnyama anayependa kufanya Ushoga hivyo walaji wa nguruwe wanayo nafasi kubwa ya kuambukizwa hizo tabia.
 
Kufuatia maoni ya wadau waliosoma uzi huu imenipasa nitoe japo a concept note.

Kiufupi lengo kuu la mradi ni Kuanzisha ufugaji wa Nguruwe kibiashara - Commercial Piggery Project (as opposed to traditional/subsistence Piggery Project). Features za commercial Piggery project include

1. Profitable Business
2. Energy-saving technology
3. Ecologically clean production
4. Humane attitude to pigs

Nimechagua kufuga Nguruwe badala ya wanyama wengine Kwa sababu zifuatazo

1. Nguruwe ana relatively low feed conversion ratio (FCR) ambayo ni nzuri mana inaelezea ufanisi Mkubwa alionao wa kuzalisha nyama toka Kwenye chakula ana chokula. Yaani anatumia chakula kidogo kuzalisha Kilo moja ya nyama.

2. Nguruwe wanakua haraka (Wana high growth rate). Nguruwe aliyetunzwa vzr anaweza kuwa na kilo Kati ya 100 -110 ndani ya miezi 6.

3. Wanabeba mimba Kwa muda mfupi Sana i.e. three months, three weeks and three days= in total 114 days. Na wanaweza kuzaa Kwa wastani watoto 10-14 Kwa mzao. Hii inategemea ubora wa mbegu, chakula na afya yao. Nguruwe pia anaweza kuzaa mara 2 Kwa mwaka.

4. Nyama yake ni White meat, hivyo ni nzuri Kwa afya na wateja wengi wanaipenda.

5. Kwa Tanzania wafugaji wa kibiashara ni wachache na kimsingi wameshindwa kumeet market demand. Hivyo Kuna soko kubwa Sana nchini ambalo Kwa sasa linalazimika kuagiza nyama hiyo nje ya nchi mana hatujaweza bado zalisha Bidhaa wanzozihitaji.

6. Wazalishaji karibu wote wamejikita katika kuuza raw pork meat/live animals (nguruwe mzima mzima). Hivyo kuna uhaba Mkubwa Sana Sana wa Bidhaa za Nguruwe zilizoongezewa thamani kama specialized and packed pork cuts, Bacon, Smoked pork meat, pork sausages etc.

Kwa kutambua haya. Ndio nikawiwa kutafuta wenzangu wanaopenda kuungana nami ili tuchangamkie fursa hii.

Gharama za ufugaji wa Nguruwe.

Kwa ujimla gharama zina tofautiana Sana kulingana na namna unavyoendesha ufugaji wako. Gharama kubwa ktk ufugaji wa Nguruwe, ukiachia Ujenzi wa Banda la kisasa, zipo kwenye chakula. Japo kuna wataalamu wanaotoa gharama za makadirio, ukweli ni kwamba si rahisi kuwa realistic Kwenye makadirio hayo.

Chakula:

1) Nguruwe ana nyonya Kwa muda wa week 4 (siku 28). Baada ya hapo anapaswa kutengwa na mama yake na kuwekwa Kwenye Banda la kukulia ili kumpa mama yake muda wa kuzalisha joto ili apandwe tena. Nguruwe no Omnivore (hula nyama na majani, nafaka/mbegu) hivyo inapaswa umlishe chakula chenye mchanganyo na virutubisho vyote na ikifaa iwe katika form ya Pellets.

Baada ya kunyonya hula chakula cha uzito mbalimbali kulingana na uzito wao mfano.

2) Nguruwe mwenye 10-17kg anapaswa kula 0.8 kg Kwa siku

3) Nguruwe mwenye 18-29Kg anapaswa Kula 1kg Kwa siku

4) Nguruwe mwenye 30-40kg anapaswa Kula 1.5kg Kwa siku.

5) Nguruwe mwenye 40-60 kg anapaswa Kula 2kg Kwa siku.

6) Nguruwe mwenye 61-80kg anapaswa Kula 2.5kg Kwa siku.

7) Nguruwe mwenye 81-100kg anapaswa Kula 3kg Kwa siku.

8) Nguwure zaidi ya 100kg na mwenye mimba anapaswa Kula 6 kg.

Inashauriwa Nguruwe auzwe chini ya 120kg maana baada ya bado anakuwa na high feed conversion ratio. Anatumia chakula kingi kutengeneza kilo moja ya nyama hivyo ni hasara Kwa mfugaji.

Naweza kudadavua zaidi Kwa interested and serious partners baadaye.

Bei ya Mbegu (Breeding Stock)

Bei ya Nguruwe wa mbegu pia inategemea unahitaji mbegu aina gani, wa ukubwa gani na unamtoa wapi. Kuna aliyetaka niuzia wa mwezi mmoja Kwa 100,000 na wa miezi sita kwa 600,000 Dar Es Salaam. Hivyo bei zina range hapo.


Soko la Nguruwe.

Soko ni kubwa Sana kuanzia soko la wateja wa kawaida hadi mahotelini. Wakati kilo 1 ya raw meat inauzwa Kwa TZS 8000 Kwa bei ya rejareja, Kwenye mahoteli ambako wananunua Bidhaa zilizoongezewa dhamani, kilo moja ya Bidhaa hiyo huuzwa hadi TZS 30,000.

Kwenye ufugaji ninaotaka kuufanya Mimi target yangu ni Soko la mahotelini.

Nini kipo tayari Hadi sasa

Ninaye mtaalam wa kuongezea thamani yaani kufanya smoking, kufanya hizo pork cuts, kutengeneza bacon n.k.

Nina shamba zaidi ya heka 3 lipo mita 600 kando ya mto Ruvu, Mlandizi na umeme haupo mbali. Hivyo suala la Maji na umeme Kwenye shamba Hilo ni rahisi.

Nina kijana wa kazi mmoja na Mimi mwenyewe ntakuwa naishi hapo hapo Shambani muda mwingi.

Nina wataalamu wa magonjwa ya Nguruwe wawili ambao wameshaonesha interest ya kushirikiana nami katika hii project.

Vinavyokosekana Hadi sasa.

Mtaji Kwa maana ya Fedha za kujenga Banda la kisasa la kuaccomodate breeding stock ya Nguruwe angalau 50 na Banda la kutunzia watoto, kujenga processing unit/house, kuweka uzio eneo la banda, kununua chakula na breeding stock 50 pigs, kutengenezea cold room/chiller, smoker, kununua machine za cutting, vacuum na vifungashio, kujisajiri TFDA na TBS.

Kama Kuna maswali zaidi nitaendelea Kujibu.
We jamaa mimi nilikutumia PM ina miezi zaidi ya minne hata hukujibu inaonekana hauko serious.
 
We jamaa mimi nilikutumia PM ina miezi zaidi ya minne hata hukujibu inaonekana hauko serious.
Very sorry jamaa yangu. Nlitumiwa texts nyingi Kwa bahati mbaya yako sikuiona na kuweza kuijibu timely. Niwie Radhi.
 
! Kuna mtu naye ananihojigi balaa kuhusu mishe zangu. Bas akuambie kesho nategemea kutembelea walau mgodi mmoja wapiii...Sana San kila siku unaombwa picha za dhahabu! Utadhani mtafiti ..hatupo serious kbs kbs yaan
Hahaha wakaa kwa shemeji hao.

Ukute anakuuliza hayo maswali amenyoosha zake miguu kwenye sofa huku mkono mmoja umeshika rimoti ya DStv na pembeni juice ya embe anakuchora tu.


Mitandaoni Raha Sana.
 
Hahaha wakaa kwa shemeji hao.

Ukute anakuuliza hayo maswali amenyoosha zake miguu kwenye sofa huku mkono mmoja umeshika rimoti ya DStv na pembeni juice ya embe anakuchora tu.


Mitandaoni Raha Sana.
😆😆🤸🤸😀! Blah blah Sana watz...dah
 
Back
Top Bottom