Recent content by Dan B Cooper1

  1. D

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nilishawahi kula tunda kimasihara hadi leo naendelea kulila kwa sbb tu ostadhati alinifananisha na jamaake wa zamani daah ….mwanamke ana akili fulani za ajabu sana hata kuna mwanangu alikua anamiliki pisi moja kali na anaihudumia ila kuna mshikaji wang mwingine hana hata maisha ila kafanana na...
  2. D

    Nakumbuka ndege ya Kijeshi iliyoanguka mbele ya Nyerere

    Tanzania wazito sana katika kutunza na kutoa historia za mambo ya nchini kwetu nimekaa Mgulani pale 4yrs ila sijawahi ambiwa chochote hadi pale katika pita pita zangu nikaona mnara
  3. D

    Nakumbuka ndege ya Kijeshi iliyoanguka mbele ya Nyerere

    Walishajenga Mkuu mnara japo Tanzania hatunaga utamaduni wa kuwa enzi waliokufa iwe ni kishujaa au kikawaida unaweza kaa pale mgulani hata 10yrs na usijue chochote ila kama ni mtu wa kuzurura sana ndio utaona
  4. D

    JamiiForums Usiku wa manane

    Mimi napitia makala mbaliambali za makomando waliotangulia mbele za haki Lt Rajab Ahmed Mlima na Lt james cosmass kapibe 🫡
  5. D

    Watanzania mnajifunza nini kwa Taifa letu juu ya andiko hili la Kamala Harris Mgombea Urais wa Marekani kupitia Democrat?

    We mtoa post acha kutuzuga kingereza tunajua kasema “to improve” elewa neno tu imporve “achieve or produce something better than” Ku improve ni kuboresha sio kutengeneza upya anaboresha kulingana na ongezeko la technolojia au ongezeko la watu hio ipo duniani kote sawa na matoleo ya simu...
  6. D

    TLS pamoja na Mwabukusi waziombe radhi Simba na Yanga hadharani kwa kuzitolea kauli za hovyo

    Bro kinachopiganiwa hapa ni kikubwa kuliko hata huo mpira Amani ikikosekana kwa watu kuendelea kupotea na kuuawa huo mpira hautakuwa na maana …Sema wa Tanzania tuna ugonjwa wa Afya ya Akili Kwene mambo ya Maana tunakua nyuma nyuma Maandamano ya aman kupinga mauaji ila wa Tanzania tulivo...
  7. D

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mimi MTanzania ila Jiji la Dar-es-salaam ni very poor katika miundo mbinu ya barabara sbb mara nyingi miundo mbinu yetu haiwi planned na serikali inaanzishwa na mwananchi aliyevamia ardhi na baadae kuja kukarabatiwa na serikali hata kama ni miembamba au imepita mahali sio na ulinganifu...
  8. D

    Ruto amewaondoa Wabantu wote katika Serikali yake na kuwapatia vyeo wasomali. Lengo ni kuwaua Kisiasa milele nchini Kenya!

    ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno ….jiwe lililokataliwa na waasi limekua jiwe kuu…..au Yusufu mtoto wa Yacobo alivouzwa na kaka zake utumwani akageuka mfalme….sisi hatuna muda wa kuthamini vitu vinavyotazamiwa kuja kuwa vizuri watoto wapo DIT na NIT pale wako so inovative ila kila siku...
  9. D

    Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

    😂😂😂nacheka kama mzuri ila usiendekeze anaweza zima mtoto ikawa case watoto wenye wa Gen Z hawana tofauti na Broilers
  10. D

    Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

    Poleen sana nyie ndio mmeshikilia tabia za watoto wetu ila mnalipwa mshahara mdogo sana
  11. D

    NADHARIA Mtu akikung'ata ukapaka kinyesi cha kuku meno yake yanaoza

    maonyo au mafunzo kwa watoto zamani yakikua yanatoka na vitisho ili kuweka mkazo wa watoto kuwa na tabia njema kwa mfano ilikua inasemekana ukinyoosha kidole makaburini kidole kinavimba, ukikojoa make sure unatema mate unless utavimba uboo mtu akiruka mkojo wako….. usiongee huku unakula...
  12. D

    Ruto amewaondoa Wabantu wote katika Serikali yake na kuwapatia vyeo wasomali. Lengo ni kuwaua Kisiasa milele nchini Kenya!

    sisi mkuu umasikini wetu ni wa akili mali tunazo…..wenzetu wakiwa masikini unakuta hawana mali ila akili wanazo ndio maana wanatumia akili kuja kurubuni Africa ambako hatuna akili
  13. D

    Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

    Ila boda boda hawa hawa wakiona sket wanachanganyikiwa ili hali wana wake majumbani
  14. D

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    No 3: They shot him 5 times Lt gen Imran Kombe suspecting as a car hijacker in Moshi regardress alinyoosha mikono kujisalimisha 🥲
Back
Top Bottom