Recent content by Damian Wayne

  1. Damian Wayne

    Ufunuo mkubwa duniani

    Angalia mwezi sasa hv ndo utaona tofauti ya lunar eclipse na phases of the moon
  2. Damian Wayne

    Dentist wa Giggy Money

    Hawayangoi kuna namna mbili Ya kwanza ni wanabandika gamba juu ya meno yako halisi, ila itafanya meno yako yaonekane makubwa Ya pili ni wanakwangua meno yako halisi ili pawe na nafasi ya kupachika meno bandia (picha chini inaonesha meno yaliyokwanguliwa kwaajili ya kuandaa kuweka Veneers)...
  3. Damian Wayne

    Dentist wa Giggy Money

    Kwa Picha alizotuma mkuu Hayo meno ni Bandia(Veneers) Kiashiria kikubwa ni meno ya tatu(Canine), ya kawaida yana asili ya mchongoko kwenye picha yote yanafanana kama meno ya mbele(incisors) Ko kama Bongotunacheza unataka hivyo, sio dawa tena ni daktari(dentist) anahitajika
  4. Damian Wayne

    Dentist wa Giggy Money

    Dawa gani umetumia? Dawa pekee kungarisha ni dilluted solution ya hydrogen peroxide
  5. Damian Wayne

    Ufunuo mkubwa duniani

    Huelewi tofauti kati ya phases of the moon na lunar eclipse
  6. Damian Wayne

    Nisome nini chuoni mwaka huu 2025?

    Chukua unachotaka kuchukua: A. JKT ni upotevu wa muda, ratiba za jkt na kujiandikisha chuo na mikopo zinaingiliana sana utajikuta unakurupuka. Tulia (Ila usipumzike😂) fuatila kama ni chuo gani utaenda? Je mazingira utayaweza? Ukishajua chuo gani unaenda vitu vya kusoma vitajichuja B. Angalia...
  7. Damian Wayne

    PreGE2025 Martha Karua wa Kenya ameshikiliwa Tanzania kabla ya kesi ya mahakamani ya Tundu Lissu

    Mwakilishi wa Kenya, mwanasheria na mtetezi wa haki za binadamu Martha Karua amekamatwa Tanzania alipoingia katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tarehe 18 Mei 2025. Alikuja kumwakilisha kiongozi wa upinzani Tundu Lissu ambaye anakabiliwa na mashtaka ya kusaliti nchi ya...
  8. Damian Wayne

    Dkt. Mpango kustaafu Siasa, atangaza kupumzika na kukuza Kilimo cha Urithi wa Baba yake

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ametangaza nia yake ya kustaafu kutoka kwenye siasa baada ya kumaliza muhula wake wa sasa, akitaja sababu binafsi ikiwemo umri wake na kutaka kujali afya yake. Akiwa na umri wa miaka 68, Dkt. Mpango alisema anahitaji "kupumzika" na kutoa nafasi...
  9. Damian Wayne

    Naweka milioni moja mezani , Taja mfalme au kiongozi wa Kiarabu wa nchi inayoitwa Palestina kabla ya 1948

    Sumu haipewagwi kavukavu Inawekwagwa kwenye chakula au vinywaji. ELEWA.
  10. Damian Wayne

    Naweka milioni moja mezani , Taja mfalme au kiongozi wa Kiarabu wa nchi inayoitwa Palestina kabla ya 1948

    Ni sawasawa uulize Taja mfalme au kiongozi mtanganyika wa nchi inayoitwa Tanganyika kabla 1948!? 🚮
  11. Damian Wayne

    Ushawi kubaka au kubakwa ?

    Miaka 7/8 sio 9
  12. Damian Wayne

    Faida za mkojo wa sungura

    3.Tutajuaje ni wa sungura
Back
Top Bottom