Recent content by Dakarai

  1. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Kuna mafuta au mchanganyiko gani unaoweza kukuza nywele zaidi kwa haraka na kuwa nyingi?

    Wow! Inapendeza mkuu. I guess tunamengi ya kujifunza kutoka kwako kuhusu nywele.
  2. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mara Paap mkeka wako unachanika Kwasababu city anaweza asishinde mechi yeyote iliyobaki ya ligi
  3. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Finger crossed
  4. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Kuna mafuta au mchanganyiko gani unaoweza kukuza nywele zaidi kwa haraka na kuwa nyingi?

    Mkuu Kama lengo ni kujaza nywele Natural Epuka chemicals tumia natural products zozote watakazo kushauri Kama kuna loctician karibu mcheki akupe ushauri. Ushauri wangu pretend kama unataka kuweka dredlocks Kwaiyo Life style utaishi kama mwenye dredlocks. Hapo utarudisha ujazo wa nywele...
  5. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Mkuu ni ngumu kubishana na wewe Lakini binafsi naamini kipaji huwa hakijifichi Lakini sio kila mtu anauwezo wa ku notice/ kuona kipaji cha mtu. The only way umeweza kujua kuwa hao uliowataja hawana kipaji cha mziki ni kama TU uliwahi kufanya nao kazi ya mziki kwa ukaribu. Namaanisha mwezetu...
  6. Dakarai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kupoteza hisia pindi ninapofanya sex na mwanamke mnene

    😂 😂 😂 😂 Hahaha 😅
  7. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Hivi law of attraction/quantum physics ipo kweli hii kitu ilisababisha nipate depression

    That's intellectual Masterbation. You just slowly stroking yourself with information, then you suddenly change the tempo it feels soo good and you feel like letting other people know how you feel. It goes until Aaah aaaah ow yeah boom! It's done. Then you begin to wonder what happened...
  8. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Hahaha Yesu wa Biblia ni mweusi! Kama ungekuwa smart kiduchu tu kung'amua point zangu Wewe huyo Yesu wako ambae alikuwa ni mweusi ni tofauti na aliyezungumziwa kwenye Biblia. Hata majina yake nadhani yalikuwa tofauti. Tatizo ni wewe muafrica kutaka kulazimisha uhusiano wako na Yesu. Ni...
  9. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Pasipo kufungamana na agenda yoyote Kwa misingi ya historia ya muafrica na mtu mweusi kwa ujumla I affirm Yesu wa kwenye bible sio mweusi Again Kwa misingi ya kitabu cha Biblia hakina character mweusi Na hao weusi waliotajwa walilaaniwa na Mungu wa Biblia anawachukia watu weusi. Just take...
  10. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa spiritual life sogelea hapa

    Mkuu Tusubiri muongozo kutoka kwa occult leaders. Na kutoka kwa makundi ya spiritual pretenders. Kama kweli unataka kupata ufumbuzi wa hiyo EXPERIENCE yako ingefaa kutumia spiritual approach Ambapo Siwezi kukwambia na hakuna anayeweza kukwambia nini cha kufanya. Binafsi naamini Spirituality =...
  11. Dakarai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya mwanamke na mwanaume, nani huathirika zaidi ikitokea ndoa imevunjika?

    Waathirika ni WANAUME MWANAUME NDIO MUATHIRIKA HAPO. WOMEN are just clever MEN are smart Tunajua characteristics of smart people Investment, Ndio Mpaka mwanaume akaamua kuoa maana yake amewekeza hapo Alishafanya tathimini kwa kina akaamua kuwekeza kwa huyo mwanamke. Kwaiyo ndoa ikivunjika ni...
  12. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Wakuu mnapitia mengi kumbe. 😂😂😂 Karatasi
  13. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Ukute junia alikuwa msumbufu. Mkuu Najitahidi nihudhurie maana hii comedy show Nzuri.
  14. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Ila haya mambo yanachekesha sana. Mahafali ya daycare 😂😂😂 Na vyeti juu 😂😂
  15. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    😂😂😂😂 Hakika mkuu
Back
Top Bottom