Recent content by Dakarai

  1. Dakarai

    Hivi law of attraction/quantum physics ipo kweli hii kitu ilisababisha nipate depression

    That's intellectual Masterbation. You just slowly stroking yourself with information, then you suddenly change the tempo it feels soo good and you feel like letting other people know how you feel. It goes until Aaah aaaah ow yeah boom! It's done. Then you begin to wonder what happened...
  2. Dakarai

    Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Hahaha Yesu wa Biblia ni mweusi! Kama ungekuwa smart kiduchu tu kung'amua point zangu Wewe huyo Yesu wako ambae alikuwa ni mweusi ni tofauti na aliyezungumziwa kwenye Biblia. Hata majina yake nadhani yalikuwa tofauti. Tatizo ni wewe muafrica kutaka kulazimisha uhusiano wako na Yesu. Ni...
  3. Dakarai

    Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Pasipo kufungamana na agenda yoyote Kwa misingi ya historia ya muafrica na mtu mweusi kwa ujumla I affirm Yesu wa kwenye bible sio mweusi Again Kwa misingi ya kitabu cha Biblia hakina character mweusi Na hao weusi waliotajwa walilaaniwa na Mungu wa Biblia anawachukia watu weusi. Just take...
  4. Dakarai

    Wataalamu wa spiritual life sogelea hapa

    Mkuu Tusubiri muongozo kutoka kwa occult leaders. Na kutoka kwa makundi ya spiritual pretenders. Kama kweli unataka kupata ufumbuzi wa hiyo EXPERIENCE yako ingefaa kutumia spiritual approach Ambapo Siwezi kukwambia na hakuna anayeweza kukwambia nini cha kufanya. Binafsi naamini Spirituality =...
  5. Dakarai

    Kati ya mwanamke na mwanaume, nani huathirika zaidi ikitokea ndoa imevunjika?

    Waathirika ni WANAUME MWANAUME NDIO MUATHIRIKA HAPO. WOMEN are just clever MEN are smart Tunajua characteristics of smart people Investment, Ndio Mpaka mwanaume akaamua kuoa maana yake amewekeza hapo Alishafanya tathimini kwa kina akaamua kuwekeza kwa huyo mwanamke. Kwaiyo ndoa ikivunjika ni...
  6. Dakarai

    Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Wakuu mnapitia mengi kumbe. 😂😂😂 Karatasi
  7. Dakarai

    Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Ukute junia alikuwa msumbufu. Mkuu Najitahidi nihudhurie maana hii comedy show Nzuri.
  8. Dakarai

    Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Ila haya mambo yanachekesha sana. Mahafali ya daycare 😂😂😂 Na vyeti juu 😂😂
  9. Dakarai

    Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    😂😂😂😂 Hakika mkuu
  10. Dakarai

    Hizi graduation za day care na nursery zimeanzia wapi?

    Ujumbe umefika mkuu😂😂 Ila kama umetia chumvi kidogo Kukazia Point zako Kuna Bi Mkubwa alibubujikwa na machozi ya furaha kuliko Luka mwashambwa😂😂.
  11. Dakarai

    Kijana usiogope kuzaa mapema, kuna faida nyingi sana za kuzaa mapema, ikiwemo kuwa na watoto wakubwa angali bado ukiwa kijana

    Mkuu hunitakii mema. Point yangu ni kwamba kutokea kwa mimba wakulaumiwa ni mwanamke labda kama alibakwa au ile ya uweza wa roho mtakatifu.
  12. Dakarai

    Kijana usiogope kuzaa mapema, kuna faida nyingi sana za kuzaa mapema, ikiwemo kuwa na watoto wakubwa angali bado ukiwa kijana

    Tupeane moyo mkuu. Wanaweza kuja kuwa ma cdf, Igp au wakina Lucha na Mwashambwa wa baadae
  13. Dakarai

    Kijana usiogope kuzaa mapema, kuna faida nyingi sana za kuzaa mapema, ikiwemo kuwa na watoto wakubwa angali bado ukiwa kijana

    Mkuu angalau Nyuzi hii ina spread awarenes na positivity. tunapumzikia humu tukitoka hapo tunqhamia kwenye nyuzi zenye CODE na mambo ya kuogofya.
Back
Top Bottom