That's intellectual Masterbation.
You just slowly stroking yourself with information, then you suddenly change the tempo it feels soo good and you feel like letting other people know how you feel.
It goes until
Aaah aaaah ow yeah boom!
It's done.
Then you begin to wonder what happened...
Hahaha
Yesu wa Biblia ni mweusi!
Kama ungekuwa smart kiduchu tu kung'amua point zangu
Wewe huyo Yesu wako ambae alikuwa ni mweusi ni tofauti na aliyezungumziwa kwenye Biblia.
Hata majina yake nadhani yalikuwa tofauti.
Tatizo ni wewe muafrica kutaka kulazimisha uhusiano wako na Yesu.
Ni...
Pasipo kufungamana na agenda yoyote
Kwa misingi ya historia ya muafrica na mtu mweusi kwa ujumla
I affirm Yesu wa kwenye bible sio mweusi
Again
Kwa misingi ya kitabu cha Biblia hakina character mweusi
Na hao weusi waliotajwa walilaaniwa na Mungu wa Biblia anawachukia watu weusi.
Just take...
Mkuu
Tusubiri muongozo kutoka kwa occult leaders.
Na kutoka kwa makundi ya spiritual pretenders.
Kama kweli unataka kupata ufumbuzi wa hiyo EXPERIENCE yako ingefaa kutumia spiritual approach Ambapo Siwezi kukwambia na hakuna anayeweza kukwambia nini cha kufanya.
Binafsi naamini
Spirituality =...
Waathirika ni
WANAUME
MWANAUME NDIO MUATHIRIKA HAPO.
WOMEN are just clever
MEN are smart
Tunajua characteristics of smart people
Investment, Ndio Mpaka mwanaume akaamua kuoa maana yake amewekeza hapo
Alishafanya tathimini kwa kina akaamua kuwekeza kwa huyo mwanamke.
Kwaiyo ndoa ikivunjika ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.