Ahsante Sana kwa kushare
Je ni kwanini kemikali zimewekwa nyingi sana kwenye dawa za miswaki?
Mkuu, kama nitaamua kurudi kwenye kutumia vijiti kama mSwaki na dawa upatikanaji wa hiyo miti.
Binafsi niliwahi tumia hivyo vijiti kitambo sana bagamoyo huko tuliweka kambi.
moja ya vitu...
Mkuu? Naheshimu maoni yako Katika hili.
Lakini naamini kilichokusukuma ufike hapo ni Hali yaiutofurahishwa na matokeo ya timu zetu za Africa
Tuko pamoja sote tumeumia.
Mkuu?
Secret society kama wametia Mkono Katika matokeo ya mechi basi nadhani ni kidogo sana Yaani indirect.
Tuseme walikuwa...
Mkuu
Kama lengo ni kujaza nywele
Natural
Epuka chemicals tumia natural products zozote watakazo kushauri
Kama kuna loctician karibu mcheki akupe ushauri.
Ushauri wangu pretend kama unataka kuweka dredlocks Kwaiyo
Life style utaishi kama mwenye dredlocks.
Hapo utarudisha ujazo wa nywele...
Mkuu ni ngumu kubishana na wewe
Lakini binafsi naamini kipaji huwa hakijifichi
Lakini sio kila mtu anauwezo wa ku notice/ kuona kipaji cha mtu.
The only way umeweza kujua kuwa hao uliowataja hawana kipaji cha mziki ni kama TU uliwahi kufanya nao kazi ya mziki kwa ukaribu.
Namaanisha mwezetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.