Recent content by Dakarai

  1. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kusema Man City Wana defence nzuri au nyumbu walikuwa hawajui wanachokifanya . Kulikoni mkuu
  2. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tabia za Benardo Silva
  3. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni kama Bruno alikuwa anajua anachokifanya na kikatimia
  4. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mtu mmoja anakula sana lakini hana kitambi, mwingine anakula kidogo na ananenepa?

    Point 1: SHAPE Body type People are built different: Hii nikiwa kama animator nimeitumia Katika kuandaa character Kuna watu ambao naturally ni thick Kuna miguu ya bia na miguu ya bangi 😄 Kuna wenye vichwa vikubwa na vichwa vidogo 😄 Twende Taratibu Upper body/Torso Kuna v-shaped torso...
  5. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Nini kilichopo ndani ya dawa za meno (toothpaste) na miswaki ya plastiki?

    Ahsante Sana kwa kushare Je ni kwanini kemikali zimewekwa nyingi sana kwenye dawa za miswaki? Mkuu, kama nitaamua kurudi kwenye kutumia vijiti kama mSwaki na dawa upatikanaji wa hiyo miti. Binafsi niliwahi tumia hivyo vijiti kitambo sana bagamoyo huko tuliweka kambi. moja ya vitu...
  6. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Mpira wa miguu una uhusiano wa moja kwa moja na jamii ya Siri (wajezi huru)

    Mkuu? Naheshimu maoni yako Katika hili. Lakini naamini kilichokusukuma ufike hapo ni Hali yaiutofurahishwa na matokeo ya timu zetu za Africa Tuko pamoja sote tumeumia. Mkuu? Secret society kama wametia Mkono Katika matokeo ya mechi basi nadhani ni kidogo sana Yaani indirect. Tuseme walikuwa...
  7. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Mikutano ya CHADEMA nchi nzima inaboresha mapungufu ya Oct 29

    MKUu?
  8. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    It's so true that (yes) We've been through it (yes) We got real shit (yes) See, baby, we been
  9. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Some people want it all But I don't want nothin' at all If it ain't you, baby .............
  10. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    "Ulikuwa na lako Moyoni," (dada rehema) "umebadilika" (dada rehema) X2
  11. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    "But hold up wait, new position I put her on my plate,.......
  12. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    "I have been waiting all my life"
  13. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Kuna mafuta au mchanganyiko gani unaoweza kukuza nywele zaidi kwa haraka na kuwa nyingi?

    Wow! Inapendeza mkuu. I guess tunamengi ya kujifunza kutoka kwako kuhusu nywele.
  14. Dakarai

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mara Paap mkeka wako unachanika Kwasababu city anaweza asishinde mechi yeyote iliyobaki ya ligi
Back
Top Bottom