kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,185
- 16,867
- Thread starter
- #41
Yaani wewe husikii Heche anasema nini kwenye mikutano yake mikoani.Maaandano hawakuratibu chadema 100% , is why walikuwa ndani takriban viongoz wote
Kusema wanataka kupindua serikal ni false, unaendaje kupindua serikal huna silaha, huna plan , huna support?
Itakuwa ajabu kama serikali itamwachia Heche aendelee kuandaa watu wafanye mapinduzi ambayo hayatafeli kama yale ya oct29.
Silaha walilkuwa nazo, acha kabisa. Huwezi kuzima moto nchi nzima kwa wakati mmoja. Mkakati ni kupora silaha za askari na makambi.