NYUMBA MOJA KUWA NA MITA ZA UMEME ZAIDI YA MOJA.
.Kwenye media inazungumzwa kuwa nyumba ikiwa na mita zaidi ya moja basi mteja afike TRA kuomba kuondosha kodi ya pango ya kila mwezi na kubakisha kwenye mita moja. Lakini tukienda tra kuomba kuondoshewa wanakataza.
Simply and well said; kuwa tajiri somehow uwe na roho mbaya + upate wa kumnyonya. Pia matajiri wengi Wana untold stories behind the scene na wanafanya Siri daima. Kufanikiwa na kuwa tajiri hakuna formula.
Ni juhudi+Bahati.
Yakisafirishwa kwa njia ya reli je wenye magari ya mizigo wakabebe nini?
Kama lengo ni kupunguza ama kuiondosha ajali ingelifaa wajikite kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa chanzo Cha tatizo barabara T1.
GHARAMA ZA VIFURUSHI.
Kwa nini hadi leo mmekaidi agizo la serikali la kurejesha bei za VIFURUSHI?
Mimi natarajia kuachana na kutumia line ya voda baada ya kuitumia tangu 2005, ila sitoacha salama, kwanza mm na familia yangu wote tutaacha mara moja kutumia line zenu, mm binafsi nitakopa...
TANESCO NA MIRADI YA REA.
Nimeshawahi lalamika hapa ni kwa jinsi gani namna nilivyocheleweshewa kuungwa huduma ya umeme hasa kwenye maeneo ya vijijini.
Nipo wilaya ya Mufindi kijiji Cha Mkalala, nahudumiwa na ofisi ya TANESCO Mafinga.
Katika kijiji chetu tulipata umeme wa REA 2019.
Mkandarasi...
TANESCO, TANESCO MAFINGA; Nilianza mchakato wa maombi ya umeme mwezi Mei 2019 kwa Nyumba mbili zilizo maeneo tofauti, baada ya kukamilisha taratibu zote nilirejesha fomu ya maombi nikisubiri mchakato wa malipo, nilikaa miezi minne bila kupata payment control number, ndipo nikaanza kushinda...
Upumbavu ni zaidi ya tabia kama ilivyo urefu na ufupi wa umbo la binadamu, ukisha kuwa mrefu ama mfupi ni Wa hivo hivo hali kadharika na upumbavu pia.
Siku hizi wapumbavu nao wanajitokeza hadharani kuonesha kiwango cha upumbavu wao.
Pumbafu zako sana.
Dagagekyeulalwe : wawindaji porini hata simba akiwa anawinda uwa ana deal na ile target yake tu. Mathalani kwenye kundi la nyumbu ama pundamilia akishamtarget mmoja ni anakomaa nae huyo huyo hata kama atajichanganya Kwa wengine atakamatwa yeye tu. Hii dagagekyeulalwe (fukuzia ulichokianzisha)...
Baadhi ya Imani zimeruhusu wanaume tuoe Mke zaidi ya mmoja, Mke atabakia Kwa Mme mmoja mwenye wake wengi.
Hata vikao vya Beijing vya haki Sawa havijataka kugusa hapo.... Muache hivi hivi....
Mke Wa kuoa ni Wa kuchagua from multiple selection, so you choose the "MOST CORRECT ONE" baada ya kuchagua unakuja gundua uliowaacha nao wanafaa Ndio unaanza kuwa na "mpango kando"/side chick.
Mtuonee huruma sisi wanaume.
Kama unahisi kuchagua ni rahisi basi angalia picha hii na tuambie...
Mwanamke ukiwa kwenye ndoa angalia unatimiziwa mahitaji yako. Wajibu Wa Mme ni kuhakikishia familia, kula, kuvaa, watoto wanaenda shule na mambo mengine. Ukitaka kujua mmeo anamicjepuko mingap mtafariki Wa bp kila Siku.
Wanaume tuna huruma sana, huko nje kuna wanawake wenzenu tukiwaacha...
Most of decision makers in tz ni wapumbafu sana, sorry wapumbafu na sio wajinga. Hii yote ni hofu ya watu kuinuka kimaisha, they need all money to be owned by certain class. .....upumbafu huu una mwisho wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.