Recent content by Dagagekyeulalwe

  1. Dagagekyeulalwe

    Tatizo la board ya mikopo Helsb

    Shida ipo hapo mwisho kabisa ukifungua inakuletea meseji ya error.
  2. Dagagekyeulalwe

    Tatizo la board ya mikopo Helsb

    Nimemliza sehemu zote. Nimeattach lakini hapo kwenye button ya FINISH AND SUBMIT YOUR FORM haparespond. Tusaidiane
  3. Dagagekyeulalwe

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NYUMBA MOJA KUWA NA MITA ZA UMEME ZAIDI YA MOJA. .Kwenye media inazungumzwa kuwa nyumba ikiwa na mita zaidi ya moja basi mteja afike TRA kuomba kuondosha kodi ya pango ya kila mwezi na kubakisha kwenye mita moja. Lakini tukienda tra kuomba kuondoshewa wanakataza.
  4. Dagagekyeulalwe

    Kanuni za Fedha: Jinsi ya kutengeneza pesa na kuendelea kuwa juu!

    Simply and well said; kuwa tajiri somehow uwe na roho mbaya + upate wa kumnyonya. Pia matajiri wengi Wana untold stories behind the scene na wanafanya Siri daima. Kufanikiwa na kuwa tajiri hakuna formula. Ni juhudi+Bahati.
  5. Dagagekyeulalwe

    Profesa Kitila Mkumbo: Serikali ipanue barabara ya Dar-Moro-Dodoma ili kupunguza ajali, magari ni mengi kwa sasa

    Yakisafirishwa kwa njia ya reli je wenye magari ya mizigo wakabebe nini? Kama lengo ni kupunguza ama kuiondosha ajali ingelifaa wajikite kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa chanzo Cha tatizo barabara T1.
  6. Dagagekyeulalwe

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    GHARAMA ZA VIFURUSHI. Kwa nini hadi leo mmekaidi agizo la serikali la kurejesha bei za VIFURUSHI? Mimi natarajia kuachana na kutumia line ya voda baada ya kuitumia tangu 2005, ila sitoacha salama, kwanza mm na familia yangu wote tutaacha mara moja kutumia line zenu, mm binafsi nitakopa...
  7. Dagagekyeulalwe

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO NA MIRADI YA REA. Nimeshawahi lalamika hapa ni kwa jinsi gani namna nilivyocheleweshewa kuungwa huduma ya umeme hasa kwenye maeneo ya vijijini. Nipo wilaya ya Mufindi kijiji Cha Mkalala, nahudumiwa na ofisi ya TANESCO Mafinga. Katika kijiji chetu tulipata umeme wa REA 2019. Mkandarasi...
  8. Dagagekyeulalwe

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO, TANESCO MAFINGA; Nilianza mchakato wa maombi ya umeme mwezi Mei 2019 kwa Nyumba mbili zilizo maeneo tofauti, baada ya kukamilisha taratibu zote nilirejesha fomu ya maombi nikisubiri mchakato wa malipo, nilikaa miezi minne bila kupata payment control number, ndipo nikaanza kushinda...
  9. Dagagekyeulalwe

    Kinachomponza Prof. Palamagamba J.A.M.Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    Upumbavu ni zaidi ya tabia kama ilivyo urefu na ufupi wa umbo la binadamu, ukisha kuwa mrefu ama mfupi ni Wa hivo hivo hali kadharika na upumbavu pia. Siku hizi wapumbavu nao wanajitokeza hadharani kuonesha kiwango cha upumbavu wao. Pumbafu zako sana.
  10. Dagagekyeulalwe

    Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

    Dagagekyeulalwe : wawindaji porini hata simba akiwa anawinda uwa ana deal na ile target yake tu. Mathalani kwenye kundi la nyumbu ama pundamilia akishamtarget mmoja ni anakomaa nae huyo huyo hata kama atajichanganya Kwa wengine atakamatwa yeye tu. Hii dagagekyeulalwe (fukuzia ulichokianzisha)...
  11. Dagagekyeulalwe

    Ujumbe kwa wanaume

    Baadhi ya Imani zimeruhusu wanaume tuoe Mke zaidi ya mmoja, Mke atabakia Kwa Mme mmoja mwenye wake wengi. Hata vikao vya Beijing vya haki Sawa havijataka kugusa hapo.... Muache hivi hivi....
  12. Dagagekyeulalwe

    Ujumbe kwa wanaume

    Mke Wa kuoa ni Wa kuchagua from multiple selection, so you choose the "MOST CORRECT ONE" baada ya kuchagua unakuja gundua uliowaacha nao wanafaa Ndio unaanza kuwa na "mpango kando"/side chick. Mtuonee huruma sisi wanaume. Kama unahisi kuchagua ni rahisi basi angalia picha hii na tuambie...
  13. Dagagekyeulalwe

    Ujumbe kwa wanaume

    Mwanamke ukiwa kwenye ndoa angalia unatimiziwa mahitaji yako. Wajibu Wa Mme ni kuhakikishia familia, kula, kuvaa, watoto wanaenda shule na mambo mengine. Ukitaka kujua mmeo anamicjepuko mingap mtafariki Wa bp kila Siku. Wanaume tuna huruma sana, huko nje kuna wanawake wenzenu tukiwaacha...
  14. Dagagekyeulalwe

    Wanaofanya miamala ya fedha kwa simu na benki watakiwa kutoa taarifa kabla

    Most of decision makers in tz ni wapumbafu sana, sorry wapumbafu na sio wajinga. Hii yote ni hofu ya watu kuinuka kimaisha, they need all money to be owned by certain class. .....upumbafu huu una mwisho wake.
Back
Top Bottom