spectator Ion
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 350
- 373
ni kama agizo la mama hawajalisikia!!! Jamaa ni viburi kweri kweri




Wanazingua
Watazinguliwa

ni kama agizo la mama hawajalisikia!!! Jamaa ni viburi kweri kweri





Naenda ttcl mkuuNenda halotel

WahuniAsubuhi ya leo nimenunua kifurushi cha wiki cha Vodacom kwa shs 5000, saa kumi naambiwa kifurushi kimeiisha,Du!! 😎
Omba eneo hilo intanet iwe vizuri tuNaenda ttcl mkuu![]()
Kwa nini Vodacom?Rasmi , kesho naenda kutafuta na kusajili laini ya TTcl na kuichomeka kwenye hii pixel yangu sababu(internet bundle). Pia nafikiria kununua na kitochi niweke hii laini yangu ya voda itakua tu inatumika KwA miamalana TTCL ikizoeleka ndo BAsi ntaitupa tu hii voda maana siwez miliki Wala tembea na simu zaidi ya moja, lazima ntapoteza moja.
Asubuhi ya leo nimenunua kifurushi cha wiki cha Vodacom kwa shs 5000, saa kumi naambiwa kifurushi kimeiisha,Du!! 😎
mirambo limited! ya rostam aziziKaangalie kwenye website Yao .....share holder NI Nani na Nani kwenye Vodacom, kisha niulize kwanini hao, wananguvu gani na wanamtandao ganiiiiii
Ipo mkuu.Huduma ya kuongea na mtoa huduma bado ipo