Recent content by dady sean

  1. D

    Nape Nnauye (CCM) anastahili TZ Nobel Prize!

    Mtoa uzi kilaza km nepi mwenyewe
  2. D

    CUF Yatangaza Maandamano Makubwa Dar es Salaam

    Duuh!! Kweli ccm ni chama cha wabaguzi daah! Nimejaribu kupitia uchangiaji wa watu humu lakini nimeona ubaguzi mwingi sana.... Ila ipo siku inshaalah mungu yupo
  3. D

    Magufuli ni mbumbumbu wa Diplomasia?

    Makomeo elimu yake ndogo sana ndo mana anaogopa kukutana na viongozi wasiojua swahili
  4. D

    Hivi kwani ni Lazima Lowassa asikike kwenye media kila mara?

    Kama unaona kero LOWASSA kusikika kwene media ata wewe usinge mtaja humu, ujiskii aibu? Unajidai utaki jambo flani wakati ww mwenyewe hilo jambo flani unalitangaza
  5. D

    Jecha analindwa zaidi hata ya Obama

    Katika maisha yangu yote sijawai ata kuchinja kuku wala mfugo wwte unaoliwa, lkn leo hii nikiwekewa uyo jecha mbele yangu alafu niambiwe nimchinje' haki ya mungu nitamchinja bila huruma tena uku namuangalia usoni
  6. D

    Mnakumbuka Lowasa alituambia tukishindwa uchaguzi huu basi!

    Kwani aliekwambia lowassa alishindwa urais nani? Kura za lowassa ndizo alizopewa makufuli na za makufuli akapewa lowassa km ulikua ujui ukweli ndo huu
  7. D

    Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

    Huyo alietamka hayo leo yuko wapi? Mungu mkubwa aise kamnyofoa roho yake tena kwa maumivu makali km wanayoyapata wa'znz kwa kudhurumiwa haki zao
  8. D

    Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

    Alikuwepo na marehem EUGEN MAGANGA cheo chake ni cptn
  9. D

    Zaeni mapema acheni ubishoo

    Hapana mkuu.... Ila siunajua mambo ya watoto wa jilani
  10. D

    Zaeni mapema acheni ubishoo

    Mimi namshukuru mungu kwakweli mtoto wangu wa kwanza nimempata nikiwa na miaka19 sasahivi nina miaka35 inamana mtoto alizaliwa mwaka 1999 wa pili nilimpata mwaka2005 wa tatu mwaka 2006 anaitwa SEAN jumla nina watoto nane wengine sijawataja ila kila mtoto na mama ake namshukuru mungu sana
  11. D

    Mambo ambayo mwanaume anafanya kukutest kama msichana unafaa kuwa mke wake

    Wanawake wachafu na wavivu utawajua tu comment zao... Nimepita kiivo yani
  12. D

    DC Makonda, ni Kujipendekeza au Utovu wa Nidhamu?

    Na hii alikua anamfunga kamba za viatu liz one
  13. D

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Mbona sioni ata alie kuunga mkono kwene hii oja yako mkuu...??
  14. D

    Gari aina ya Toyota Passo inahitajika

    Nahitaji toyota passo budget 5ml. Iwe katika hali nzuri namba c
  15. D

    Nyumba inapangishwa manzese uzuri

    Ila nyumba ni nzuri sana kwakweli
Back
Top Bottom