Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,075
Hebu Jecha ajiulize yule mwanamama Asha Bakari aliyetamba ndani ya BMK mwaka 2014 kule Dodoma kuwa Zanzibar haiwezi kutolewa na vijikaratasi vya kupigia kura yuko wapi hivi sasa?Wamlinde tu lakini siku zake zakifika atamfahamu Mungu ni nani
Tayari ametangulia huko Ahera hivi majuzi.
Kwa hiyo watawala wetu wanaofanya mambo kama vile wataishi milele hapa duniani watapata ujumbe mzuri hapo.
Kwa hiyo Jecha atambue kuwa malipo ya 'uharamia' anaowafanyia wazanzibari ataanza kuyapata hapa hapa duniani na hatimaye yatakamilishwa ahera.