Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Tuteme bana. Kuzaa ni wito.
kwamfano sasa unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37. Anamaliza darasa la 7, wewe una miaka 44. Anamaliza kidato cha 4, wewe una miaka 48 anamaliza kidato cha 6, wewe una miaka 50 anajiunga na jeshi la kujenga taifa, wewe una miaka 51 anamaliza chuo kikuu 4years, wewe una miaka 55 anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka mzima, wewe una miaka 56 hapo mtoto hajafeli wala kurudia vidato. Huyo ndio first born wako hapo tumeasume umempata ukiwa na miaka 30. Life expectancy ya tanzania ni miaka 52. Zaeni mapema acheni ubishoo!!!!
Mimi namshukuru mungu kwakweli mtoto wangu wa kwanza nimempata nikiwa na miaka19 sasahivi nina miaka35 inamana mtoto alizaliwa mwaka 1999 wa pili nilimpata mwaka2005 wa tatu mwaka 2006 anaitwa SEAN jumla nina watoto nane wengine sijawataja ila kila mtoto na mama ake namshukuru mungu sana
Huo ndio ujogoo sasa....19 yrs ulikuwa unajishughulisha na nini? Ulifanikiwa kumuhudumia mwanao? Au uliwaachia wakwe zako.?
dah tayari nina wawili Yasser na Christina hapa napigana ili kuwaandalia maisha safi ili wasijeteseka ingawa mama zao ni tofauti