Vipi umbumbumbu wetu sisi wa kristo?? Maana Heri ya wao wanae mungu mmoja kuliko sisi tuna miungu mingi mkuu!!! Tuna makanisa mengi sana yanayopiga kelele siku zote bila facts na wasomi wakiwa ktk kelele hizo, vipi ss tunaopendeza na kumiliki midegree mikubwamikubwa duniani alafu tunakwenda...
Bro pole sana, naomba ufikirie tu kama atakuelewa je, atakupenda tena kama zamani!? Ukipata jibu lichanganue vizuri kama ameweza kutamka kwa kinywa chake basi kifuatacho kukukataa mbele za watu!!! Huyu ni kicheche ila wewe ulimtazama tofauti,hukukosea kumuamini ila yeye amedhihirisha kuwa hukuwa...
Vipi kama lowassa angekuwa rais lissu angekosoa?au coz muhongo bado yumo ccm??vipi mamluki lipumba alipowakimbia ukawa kisa EL ALISHBULIWA SANA NA CDM?? LEO LISSU ALIYEMUONA EL MSAFI ANAMCHUKIA PROF.KISA ALIJIUZULU!!! CHADEMA HAWANA KICK WALA NAMNA YA KUMAKE HEADLINES TENA NCHINI!!! HONGERA KWA...
Jibu kubwa liko informatics ambako ni wiki mbili sasa hakuna huduma ya Chakula college of informatics and virtual education (CIVE).NI UTATA MZITO AISEE UJASI KWA KWENDA MBELE!!!
ushauri ni kitu ambacho hakina gharama ulimwenguni lakini ushauri humgharimu au kumnufaisha autumiae,just calmdown and make proper decision,then think of where utakwenda kujimpumzisha kwa sasa kama utachukua maamuzi ya haraka kuachana nae? it is more than a pain.get well soon brother
Mimi ni mgeni jf nimeingia humu wkt wa kampeni, lakini wewe unaonesha kuwa hujaqualify kuwa great thinker, so learn from gthnker!! Wazungu wanasema practice make perfect, then nobody is perfect! Who makes practice if not bodies???don't quote from whites you will not be a great thinker!!!! Answer...
Lowassa is heavyweight politician over magufuli who is a lightweight politician but lowassa was carried by a lightweight political part compare to magufuli thus why lowassa became a loser and magufuli become a winner. Match itself is a war,therefore when you lost the match you lost the war...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.