Recent content by Daban

  1. Daban

    Jipu la Udom limeiva

    Kule kama kawa mkuu ndiko tukojidai ila mama miwania hayupo wengne wote kama kawaida,,ila uongozi unazingua kinoma!!!!
  2. Daban

    Zantel : Udini

    Vipi umbumbumbu wetu sisi wa kristo?? Maana Heri ya wao wanae mungu mmoja kuliko sisi tuna miungu mingi mkuu!!! Tuna makanisa mengi sana yanayopiga kelele siku zote bila facts na wasomi wakiwa ktk kelele hizo, vipi ss tunaopendeza na kumiliki midegree mikubwamikubwa duniani alafu tunakwenda...
  3. Daban

    Jipu la Udom limeiva

    Waziri wa info naye pumba tupu mkuu tangu tar 29 mwezi uliopita mpaka leo hii hakuna chakula CIVE
  4. Daban

    Nimeumbiwa moyo mpweke

    Bro pole sana, naomba ufikirie tu kama atakuelewa je, atakupenda tena kama zamani!? Ukipata jibu lichanganue vizuri kama ameweza kutamka kwa kinywa chake basi kifuatacho kukukataa mbele za watu!!! Huyu ni kicheche ila wewe ulimtazama tofauti,hukukosea kumuamini ila yeye amedhihirisha kuwa hukuwa...
  5. Daban

    Mada Huru: Ni Mtangazaji yupi anayekuboa zaidi?

    Faroob karim::::pumba kabisa hili jamaa
  6. Daban

    Kwanini kamati kuu (CC) ya CCM iliwabania Prof. Lipumba na Dr Slaa?

    Mbatia anawacost slaa na lipumba coz yeye aliteuliwa kisha akawageuka ccm!!!
  7. Daban

    Neno la kejeli: Mliomtaka Lowassa mmesahau mlitaka kurudisha nini kwa taifa?

    Vipi kama lowassa angekuwa rais lissu angekosoa?au coz muhongo bado yumo ccm??vipi mamluki lipumba alipowakimbia ukawa kisa EL ALISHBULIWA SANA NA CDM?? LEO LISSU ALIYEMUONA EL MSAFI ANAMCHUKIA PROF.KISA ALIJIUZULU!!! CHADEMA HAWANA KICK WALA NAMNA YA KUMAKE HEADLINES TENA NCHINI!!! HONGERA KWA...
  8. Daban

    UDOM mbona kama hakuna uongozi wa wanafunzi

    Jibu kubwa liko informatics ambako ni wiki mbili sasa hakuna huduma ya Chakula college of informatics and virtual education (CIVE).NI UTATA MZITO AISEE UJASI KWA KWENDA MBELE!!!
  9. Daban

    Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

    ushauri ni kitu ambacho hakina gharama ulimwenguni lakini ushauri humgharimu au kumnufaisha autumiae,just calmdown and make proper decision,then think of where utakwenda kujimpumzisha kwa sasa kama utachukua maamuzi ya haraka kuachana nae? it is more than a pain.get well soon brother
  10. Daban

    Naomba ushauri, hana muda wa kuwasiliana na mimi

    Pole, but start to forget him slowly as he does!!!
  11. Daban

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    nashauri tuandamaneni kumuunga mkono rais wetu bila kujali itikadi ya vyama vyetu tusimuache peke yake hatoweza kwa hili!!!
  12. Daban

    Ni kweli watoto wa Dr. Magufuli wanasoma shule za kata?

    Kuna mwingine kibonge hivi yuko udom masters,bonge hivi ila nae yuko poa sana mshkaji!!
  13. Daban

    Zitto mbabe wa Bungeni, hakususia hotuba ya Rais

    Mimi ni mgeni jf nimeingia humu wkt wa kampeni, lakini wewe unaonesha kuwa hujaqualify kuwa great thinker, so learn from gthnker!! Wazungu wanasema practice make perfect, then nobody is perfect! Who makes practice if not bodies???don't quote from whites you will not be a great thinker!!!! Answer...
  14. Daban

    Funzo kwa Lowassa: CHADEMA wameanza kumsahau Lowassa

    Lowassa is heavyweight politician over magufuli who is a lightweight politician but lowassa was carried by a lightweight political part compare to magufuli thus why lowassa became a loser and magufuli become a winner. Match itself is a war,therefore when you lost the match you lost the war...
  15. Daban

    Prof Kitila Mkumbo: ACT - Wazalendo sio mazuzu wa kususia Bunge

    Mmesahau kuwa hoja za zitto ziliikuza chadema? Sasa zitto kaanzisha chama chake wataamia tu akina matundu, manyika madee,malema na mabowe tusubiri!!!
Back
Top Bottom