TheDek
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 457
- 428
Katika chuo kikuu cha udom kumekuwa na matatzo kadhaa ambayo kwa mugbu wa muheshimiwa magufuli ni majibu yaliyoiva kabsa na yanatosha kutumbuliwa
-swala la kucheleweshwa kwa hela ya meals and accomodation chanzo cha tatzo nadhan kinafahamika kabsa JIPu no 1.
-Magbu mabovu ya waadhili na wafanyakazi wa chuo kikuu hcho tajwa JIPU NO 2.
-Miundombinu isyo rafk,maji,cafe na vyoo na mabafu JIPU NO 3.
Mh magufuli huo ni muhtasal tu
Khabar kamili utaipata ikifanya kale ka utaratbu kako ka kutokea ka mzimu.
-swala la kucheleweshwa kwa hela ya meals and accomodation chanzo cha tatzo nadhan kinafahamika kabsa JIPu no 1.
-Magbu mabovu ya waadhili na wafanyakazi wa chuo kikuu hcho tajwa JIPU NO 2.
-Miundombinu isyo rafk,maji,cafe na vyoo na mabafu JIPU NO 3.
Mh magufuli huo ni muhtasal tu
Khabar kamili utaipata ikifanya kale ka utaratbu kako ka kutokea ka mzimu.