Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

Presha ya nini? Kwanini ukose raha? Kwanini uwe na mashaka? Hata ukimsamehe bado utakuwa na mashaka na wasiwasi! Walk away dude!
 
Kwanza inatakiwa atupe mrejesho jana alisema yupo njian anamfuata dom sasa msijekuwa mnajitafuna hapa kumbe mwenzen kalegezwa magot ameshasamehe.

Haha ha ha! Mgegedo kitu ingine kabisa hasa ule wa hasira unakuwa mtamu balaaa!! Huwa napenda ile migombezo ya makelele na kujibizana mwishoni ukibanwa kwenye kona tightly unafunga mdomo mwenyewe kwikwiiiii!!
 
If I was her man,I think I could understand.
 
Huyo mwanamke hajatulia ndio maana ulivyomwambia unataka kwenda alianza kuleta vijisababu.

Inamaana asingekuwa huyo jamaa kukupa ukweli mpaka sasa usingejua lolote. Usiumize kichwa kwa mwanamke mpumbavu angalia maisha mengne mwache aendelee na huyo jamaa.

Anakufanya ww mtoto. Kama aliweza kumwonea huruma kumpa hifadhi nini kitazuia kumpa papuchi?

Mkuu umenena.Uadilifu wa mtu unajulikana pale unapokosa mashaka.Kama moyo unasita,hapo hakuna mwanamke,MPOTEZEE,ANZA MAISHA UPYA...USIMUWAZE KWA LOLOTE.
 
Tusubiri tu mrejesho wa walipofikia

ww endelea kusubir lakn jamaa ndio hvyo kalegezewa sauti na macho jamaa hoi sasa hivi kapiga vyake tangu ile jana hasira zmeisha ameshahau kama hata alishapost huku jf.
 
ww endelea kusubir lakn jamaa ndio hvyo kalegezewa sauti na macho jamaa hoi sasa hivi kapiga vyake tangu ile jana hasira zmeisha ameshahau kama hata alishapost huku jf.
Hahaha yote kheri tu
 
Mkuu,pole sana.MwenyeziMungu amekupenda,amekuonesha mapema.Huyo si mwanamke mwema,piga chini na umtakie kila la kheri huko aendako.
Huna lako hapo,anza maisha yako kwa utaratibu mpyaaaaa.
 
Huyo mwanamke hajatulia ndio maana ulivyomwambia unataka kwenda alianza kuleta vijisababu.

Inamaana asingekuwa huyo jamaa kukupa ukweli mpaka sasa usingejua lolote. Usiumize kichwa kwa mwanamke mpumbavu angalia maisha mengne mwache aendelee na huyo jamaa.

Anakufanya ww mtoto. Kama aliweza kumwonea huruma kumpa hifadhi nini kitazuia kumpa papuchi?

Mkuu umenena.Uadilifu wa mtu unajulikana pale unapokosa mashaka.Kama moyo unasita,hapo hakuna mwanamke,MPOTEZEE,ANZA MAISHA UPYA...USIMUWAZE KWA LOLOTE.
 
Pole sana. Zinaa achana nayo na huyo mpige chini. Hakika zinaa zinaturudisha nyuma kimaendeleo chanya
 
Historia ya kusaidia mabinti wa kitanzania huwa haina mwisho mwema....uzoefu unaonyesha hivyo, msaidie kama dada na sio mpenzi
 
ushauri ni kitu ambacho hakina gharama ulimwenguni lakini ushauri humgharimu au kumnufaisha autumiae,just calmdown and make proper decision,then think of where utakwenda kujimpumzisha kwa sasa kama utachukua maamuzi ya haraka kuachana nae? it is more than a pain.get well soon brother
 
Back
Top Bottom