N kawaida sa nyngn japo una shauliwa uende hosp......mm nlpata damu mpk miez5 na nlkua na mimba....sema utapata tabu sana maana hua damu inakwsha sana mwshon....kngn hurnda mimba imetungwa nje ya kizaz
Kama n kwel lisemwalo IDD AZAN KAPTA BLA KIZUIZ nimekerekwa sana... N tetes ziendeleazo hapa kinondon kua idd azan kapta free km akna filikunjombe!! Ndugu zangu wana ukawa hiv hatujui tofaut ya karan na hakimu ktk kuwekewa sain...??? Afu hili n kwann tuuu ktk majimbo walopewa CUF??? IDD ALKUA...
Ndoa yk mbona ipo salama sn na hkn vkwazo?? Hivyo n vtu vya kuongeleka tuu...ss ww vtu vdg hvyo vy kukaa na kuongea ushafka jf kulalamka...... Act like a Man.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.