DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
CCM ndo mwanzo mwisho.
Ccm hawatakiwi kuwa na kihoro na kuondokewa na masalia. Hotuba ya EL haina mvuto wala hamasa. Katika kujibu maswali ndio bomu kabisa....na kwa udhaifu aliouonyesha namwombea Mungu aweze kumudu mshikemshike wa kampeni za nchi nzima za kujinadi km atapitishwa na ukawa kugombea urais, ili watanzania wajionee wenyewe utimamu na umakini wa huyo jamaa!
Kwani Lowasa katoa tuhuma gani zaidi ya kujiuma uma?
Hahahahahahahahahahhh
Ile picha ya ccm ikijikaanga kwa mafuta yake yenyewe iko wapi wakuu!!! Naona walidhani wanaweza kuyazuia mafuriko mwa Mikono kumbe wametegesha chekecheo..!!!
Haya sasa mzee kafunga Gufuri na Funguo kazitupa baharini... Wanaandamana..!!
BACK TANGANYIKA
Kwahiyo nikusaidiaje kiumbe wewe..
Pole ya nini unayonipa? Umesikia kuna msiba? Mbona unaingea kanakwamba umezamisha kichwa chako kwenye maji? Ccm inajua inachokifanya, Kipi? kujikaanga kwa mafuta yake yenyewe? Nani kawatuma? Haya Lowassa alikuwa Cdm tangu mwaka 2013... Alichukuaje form ya kugombea Urais kupitia Ccm? Unajua wewe unaongea utafikiri kichwa kilichokatwa kwenye kiwiliwili cha Binadamu... Yaani huna connection Kati ya moyo na Ubongo.. Unaropoka tu bila mpangilio..
Hebu tutokee hapa.....!!!
BACK TANGANYIKA
baada ya kukatwa mtu au mageuzi ya dhamira ya kweli kutoka moyoni,