Msimamo wangu

Msimamo wangu

Sema tu umechoka kuvuliwa chupi na wanaume tofauti kila kukicha....hivi kwa akili yako, unafikiri kuna mwanaume gani atakayekuoa wewe na tabia hii? Si kila mwanamke inabidi aolewe, kuna wengi wenu dizaini yako wako tu kwa ajili ya kuchafuliwa mavuzi na wanaume tafauti tofauti na kutupwa kuleeee. Pole lakini kwa kuwa bitter.

Duuuuh dogo mbona yamekutoka sana, why paniking??? Yaani utadhani umeshikiwa bunduki unioe!! Hiyo pole jipe wewe kwakweli yaani imebidi nicheke na kukuonea huruma.
 
Naona wanaume msio jiamini MNA mwaga povu hadi kutumia lugha isiyo na staha. Acheni kupaniki kwani kuvuliwa kyupi nini cha ajabu.
 
Naona wanaume msio jiamini MNA mwaga povu hadi kutumia lugha isiyo na staha. Acheni kupaniki kwani kuvuliwa kyupi nini cha ajabu.

Chi ndo hapo chacha! Yaani nacheka mpaka basi yani, wanaona kutuvua chupi ni diliii aiii kwani sisi hatupati raha? Kweli ukitaka kuwakamata wavulana wa jf ongelea hela, yaani mishipa inawasimama haoo!! Basi mie burudaniiii!
 
Chi ndo hapo chacha! Yaani nacheka mpaka basi yani, wanaona kutuvua chupi ni diliii aiii kwani sisi hatupati raha? Kweli ukitaka kuwakamata wavulana wa jf ongelea hela, yaani mishipa inawasimama haoo!! Basi mie burudaniiii!
Badala watetee hoja zao wanaanza Ku attack kwa lugha mbofu mbofu. Udhaifu huo hasa hapo kwa hela ndo wana charuka sana ebu watafute hela huko.
 
Sema tu umechoka kuvuliwa chupi na wanaume tofauti kila kukicha....hivi kwa akili yako, unafikiri kuna mwanaume gani atakayekuoa wewe na tabia hii? Si kila mwanamke inabidi aolewe, kuna wengi wenu dizaini yako wako tu kwa ajili ya kuchafuliwa mavuzi na wanaume tafauti tofauti na kutupwa kuleeee. Pole lakini kwa kuwa bitter.

Natamani ni m PM hii quote. Manake inabidi aisome mara mia kila siku
 
Chi ndo hapo chacha! Yaani nacheka mpaka basi yani, wanaona kutuvua chupi ni diliii aiii kwani sisi hatupati raha? Kweli ukitaka kuwakamata wavulana wa jf ongelea hela, yaani mishipa inawasimama haoo!! Basi mie burudaniiii!
Kuvuliwa chupi wewe unaona ni kitu cha kawaida?
 
Badala watetee hoja zao wanaanza Ku attack kwa lugha mbofu mbofu. Udhaifu huo hasa hapo kwa hela ndo wana charuka sana ebu watafute hela huko.
Diva nina uhakika haya maneno sio ya atoto kayakopi sehem fulani.
Sidhani kama hapa JF kuna mdada mwenye msimamo kama huu.
 
Last edited by a moderator:
Badala watetee hoja zao wanaanza Ku attack kwa lugha mbofu mbofu. Udhaifu huo hasa hapo kwa hela ndo wana charuka sana ebu watafute hela huko.

Yaani nachekaga hadi basi, unakuta mtu anakurupuka huko yanamtoka utadhani anapewa tuzo, na hayo maneno yao sasa sijui wanadhanigi wanamkomoa nani!! Watafute pesa huko waache kulialia, mwingine yanamtoka hapa kumbe hata hela za kujihudumia yeye tu hana na ameolewa huko analelewa.
 
Mademu wasasa kizazi cha mabazazi........na mtazeeka na upweke wenu ......hizo shepu na sura mnazoringia wakati huu wa ujana zinakuja na xpiredate......soon zitapotea mtaanzakung'ang'ania wanaume za wenzenu wanaojitambua.........shame on you......your Armageddon is coming not many years from now onwards ......wenye akili wajiongeze wawache hawa wanawake mabazazi wanaojifanya wanaweza kutengeneza formula ya maisha yao.
 
Sanaaaaa!! Kwani uajabu wake nini?

Sio kweli . Uajabu wake watu kama nyie mpo wachace sana na tunawatafuta sana ila hampatikani. Embu fanya kuni pm ama kuni poke kwanza nikupe tumaneno tutamu.
 
Duuuuh dogo mbona yamekutoka sana, why paniking??? Yaani utadhani umeshikiwa bunduki unioe!! Hiyo pole jipe wewe kwakweli yaani imebidi nicheke na kukuonea huruma.


Unanionea huruma wakati si mimi ninayevuliwa chupi kila kukicha na wanaume tofauti, vipi tena? Mimi hata nishikiwe bunduki sioi mwanamke dizaini yako na siwezi kudinda kwa mwanamke kama wewe. I have my standards.
 
Unanionea huruma wakati si mimi ninayevuliwa chupi kila kukicha na wanaume tofauti, vipi tena? Mimi hata nishikiwe bunduki sioi mwanamke dizaini yako na siwezi kudinda kwa mwanamke kama wewe. I have my standards.

Huhuhuuuu! Nakuonea huruma wewe unayenishikiaga mguu nikivuliwa hizo chupi maana hata iweje huwezi nivua i have my standards u know!! Haya kakojoe ulale dogo sawa!
 
Back
Top Bottom