Kazi ya ziada kwa Magufuli

Kazi ya ziada kwa Magufuli

jinsi unavyoandika upuuzi ndio inadhihirisha nyie na viongozi wenu wapuuzi .....am ready to bet kuwa magufuli ni Rais na hakuna namna ndio kifo cha Ukawa
 
Watu wengi mnashabikia bila kujenga hoja....ila tuanenda kwenye uchaguzi na tutarudi hapa kujadili wakati huo Magufuli ni Rais wa nchi, mnaaminishwa mambo yasiyo na msingi na mnabisha ukweli wa Dk. utajulikana soon.
Jitihada yenu ya kumuhonga doctor imekwama sasa bado mnamuangaisha Mshumbushi , hata hivyo akiondoka ataondoka peke yake na aibu itakuwa kwake, sisi mmeshatuandaa kisaikolojia kutokuwa naye na hapo ndipo system yenu imebugi , ingekuwa sudden ingekuwa na impact kidogo.
 
Mleta maada una upeo mfup sana kwenye kutengeneza hoja, nan aliyekwambia kuwa lowasa kaaminiwa Kwa siku3 Na wakat watu wamekaa vikao zaid ya wiki2, ndio akajwa kutangazwa m2, Kwa upande wa slaa mtasubiri sana yy kujotoa chadema
 
Kwa post kama hizi mtazidi tu kuidhalilisha CCM jamani, jaribuni kuwa wabunifu japo kwa kiwango kiduchu...poleni sana.
 
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.


utakapogundua kwamba maneno yako sio ya kweli kwamba, Slaa ameacha siasa nipigie
 
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.
kwenye maisha kila mtu na bahati yake na bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
Kwasababu unavyo zidi kulalama ndio unazidi kupoteza bahati yako na ukumbuke kuwa bahati haiji mara mbili inabidi ungeangalia huo muda unao zidi kupoteza ungefanya nini cha maana
 
Vijana wa ccm ni wapuuzi kweli kweli ingewezeka tungefanya uchaguzi ata leo tuwashikishe adabu!!
 
Umekula maharagwe ya wapi wewe? Hebu chukua kipande cha limao fasta.
 
jinsi unavyoandika upuuzi ndio inadhihirisha nyie na viongozi wenu wapuuzi .....am ready to bet kuwa magufuli ni Rais na hakuna namna ndio kifo cha Ukawa
Na mtaweweseka sana magamba nyie, na hapo bado kampeni hazijaanza mshaanza kukata roho.... Makufuli yako mlangoni yanasubiri funguo zifungue.
 
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.

Nimepitia nyuzi zako za nyuma wewe ni ccm pure hujawahi kuamini katika mabadiliko ya upinzani even before ujio wa Lowasa chadema.
Mbona unajitekenya na kucheka?.Lowasa kawashika aisee
 
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.
think twice wewe kwanza lowasa ni Rais wa tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania upend usipende
 
Kwa post kama hizi mtazidi tu kuidhalilisha CCM jamani, jaribuni kuwa wabunifu japo kwa kiwango kiduchu...poleni sana.
Tatizo la CCM wana shindwa kusoma alama za nyakati na kuja na new strategy wanafikiri wananchi ni wale wa zamani.
 
Hujui siasa
Kweli hajui siasa kuwa ni uongo na hasa kwa watu wasiotumia vichwa vyao kufikilia..... yaani wanaotumia kichwa cha Mbowe kufikiria badala kutumia vichwa na akili zao kufikiria na kuamua katika mambo ya kisiasa.
 
unaposema haijawah kutokea mtu akapata uanachama kwenye chama kikuu cha upinzani na akapewa kugombea uraisi, kwa maelezo yako ni kwamba haijawah kutokea hvo popote duniani.
sasa ndio hvo imetokea Tanzania mwaka huu, sehemu nyingine watafanya reference kwamba hata Tanzania iliwah kutokea. yani wew unataka ufananishe kwa wenzako tu, lini wao watafananisha kwako.
acheni porojo bana upinzani wanatoa raisi mwaka huu. hutaki lala mbele na magufuli. mana alishatwambia atakalala mbele na wazembe wote!!
 
Back
Top Bottom