Recent content by d coy++++

  1. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Habari Wana DIT, Natumaini mko poa Kuna mdogo wangu wa mwaka wa kwanza diploma, 2025 mechanical department. Huyu dogo mwaka 2023 alijiunga na dit ila Kuna somo hakufanya sup akatakiwa arudie mwaka. Na hii 2024-2025 ndo karudia hilo somo. Ila sasa mpaka sasa mfumo unaonesha yuko mwaka husika...
  2. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Habari zenu ndugu zanguni. Swali: mwanamke miaka 27 mjamzito (miezi 2,mimba ya kwanza ) ila bado anapata matone kdogo ya damu kuptia njia yake ya haja ndogo...je tatizo linaweza kuwa ni nn? Na nn suluhisho la tatzo husika japo mimba haijatoka Sent from my KYV40 using JamiiForums mobile app
  3. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Since day 1 umetoka dar to Arusha hukupata lijimama la kunyoosha msuli kwel...
  4. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Wabishi wauwawe tu ...*****
  5. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Bila kututajia mwaka, tuambie ulimaliza form four mwaka gani?

    'Big result now'
  6. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Msaada wa notes za Electrical Engineering ngazi ya Diploma DIT

    Acha kwanza ncheke[emoji24][emoji24][emoji24]
  7. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Mchepuko amuua mke wa mtu akidai ametoa mimba yake, akiri polisi

    Mh hizi taarifa za namna hii zinatrend sana miaka hii
  8. d coy++++

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Welcome To Electronics products Empire

    Bei yake?
  9. d coy++++

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Pumuzka kwa amani ndugu yetu ..
  10. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima ni nani Tanzania?

    Nenda kwenye hoja acha kulialia.. Sent from my KYV40 using JamiiForums mobile app
  11. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima ni nani Tanzania?

    Pesa pesa pesa!
  12. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ni namna gani ninaweza kupata "fully funded scholarship" nje ya nchi, mbali na kufaulu vigezo vyao?

    Habari zenu wakuu, Mwaka jana niliona fursa za kusoma nje nkaamua nijaribu kuomba, ila sikupata, pamoja na kuambatanisha vigezo vyote na documents kamili zilizohitajika. Mfano mzuri ni hizi 'full funded international scholarship' nyingi zinazokuwa chini ya mashirika na taasisi, mfano UNICEF...
  13. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Hadithi: Nchi ya wasioona (The country of the blind)

    Hadithi fupi fupi[emoji849] Sent from my KYV40 using JamiiForums mobile app
  14. d coy++++

    JamiiForums Tanzania Msaada: Sehemu sahihi naweza pata maharage njano mkoani Morogoro au Mbeya

    ni wapi huko sasa mkuu?
Back
Top Bottom