Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 881
- 1,636
Ulitumia dawa gani? Lakini pia ulifanya full blood picture? Kama ni ndiyo utanitajia dawa ulizotumia tuone tunafanyajeWakuu naomben msaada kama kuna anayejua tiba ya ugonjwa wa ngozi kuwasha na kutengeneza mabaka mwilini kama unavoonekana kwenye picha hapo. Ni mwezi sasa, nmeenda kmhospital na kupata vipimo nkaambiwa mchafuko wa dam na kuoewa dawa ambazo hazijanisaidia mpaka sasa.View attachment 2104129