Naombeni msaada kwa anaefahamu vijiji bora kwa ulimaji na udharishaji wa maharage hasa ya njano kwa mkoa wa morogoro au mbeya.
Lengo ni mimi kufika kwa haraka huko na kufanya nao biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.