Habari zenu wataalam wa JF , Naomba kuuliza kitu, Simu yangu internal memory ilijaa nimenunua Sd card Gb 8 lakini nikitaka kuupdate apps mf WhatsApp n.k inaniambia not enough memory na tayari nilishaiset picha na vitu vingine niki download vyote vinaingia kwenye Sd card kasoro hizo apps tu...
Tafadhali Naomba kushea uzoefu wa shule ya secondary kiteto iliyopo Manyara , Mtoto wangu kachaguliwa hapo kwenda kidato cha tano nina hitaji kujua vitu vifuatavyo :
1)Mazingira ya shule yako vipi?
2)Uniform zao zina rangi gani?!
3)Je ina walimu wa kutosha?
4)Je academically wako vizuri...
Unajua inaumiza sana, alichofanyiwa Mange na kina Rachel, Nambua etc si kizuri kabisa kipindi yeye anataka kuolewa mpk waliwatafuta wakwe zake na mange na kuwapa profile la mange na pia waliwatukana sana wazazi mange matusi ya Nguoni. Waache na wenyewe wapate joto ya jiwe lol!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.